Ajali mbaya kimara mwisho

Ajali mbaya kimara mwisho

mama dunia

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
420
Reaction score
84
Jamanu ajali mbaya imetokea mda si mrefu..haya magari ya makontena lipo nyanganyanga na likontena lipo down.jamani hata macontena ni hatari jamani..
 
Lipo nyanganyanga kivipi, elezea vitu vinavyoeleweka, limegongana au container limeangaku?? Fungukaaa
 
Makontena si salama sana haya,utakuta mtu analifuata ubavuni gari lenye kontena ni hatari,mkuu piga picha unaweza ukaziweka baadae ukitulia.
 
Mimi huwa jasiri,lkn leo nimeshindwa kutazama...Contena limeanguka,kuna mtu kabanwa ubavuni,kawa kama chapati...ni hataree...kwanini haya malori yasipatiwe njia zao??
 
mzizi mkavu anahusika amekuja kuchukua damu......ametumwa na mkuu wake kule baharini....chonde chonde mkuu mzizi mkavu utatumaliza
 
Naweka inakataa.naendelea kujaribu.watu wamekuwa wengi sana sana ktk tukio..mie nimepita ila I think kuna vifo maana kichwa cha hilo gari kimepondeka balaa
 
kimara kwa makontena kuua ni common sana kuna wkt liliponda ponda dala dala ikawa chapati
 
Tulia basi ulitee habari iliyokamilika...sio kila mtu yupo kimara...chanzo cha ajali, kuna majeruhi, vifo je?....tupia japo na kapicha...!
 
Mkuu funguka kidogo tukuelewe basi. Yaani inakuwa kama umekoswa koswa na hilo kontena.
 
Back
Top Bottom