Ajali mbaya katika eneo la King'ori Mkoani Arusha

Ajali mbaya katika eneo la King'ori Mkoani Arusha

Mapengo 17

R I P
Joined
Mar 28, 2014
Posts
1,228
Reaction score
618
Ajali mbaya imetokea usiku huu mbele ya eneo la King'ori mkoani Arusha (Haijafahamika mara moja kuwa kuna majeruhi wa ngapi/vifo).

Inadaiwa kuwa dereva wa gari alikuwa na mpenzi wake na walikuwa wanaendelea na mambo yao hadi dereva akajisahau na kugonga jiwe lililokuwa pembezoni mwa barabara na gari kupinduka kama linavyoonekana kwenye picha.

Kwa taarifa zaidi na maelezo ya kina tutayapata baadae au asubuhi.


Waliopata ajali ni mtu na mke wake wala siyo wapenzi tafadhali badilisha maelezo yako na wote wamepoteza maisha dereva na mke wake na bado ni vijana ambao hawajafikisha miaka 33!!

Mume anaitwa (Emma) Massawe Nkya wa Machame Lyamungo kati alisoma shule ya o level Lyamungo Secondary Wilaya ya Hai Kilimanjaro.

ajali.jpg
 
Aisee sie wanga bado tupo live mida hii ya saa saba.
Weekends hizi na madem kwenye gari ni balaaa.

Unajua kuna kipindi baadhi ya watu wanajisahau na kuamua ku romancika ndani ya gari,na gari lenye ni SUV,kazi kubwa sana.

Utakuta hana Bima hapo ndio balaa,na kama kaazima ndio balaa zaidi,lazima auze nyumba
 
mbona hii ijali kama nmeiona ngulelo na siyo kingori kama mlete mada alivyosema
 
Asante kwa taarifa lakini epuka ushuhuda wa uongo ajali yaweza kutokea bila ya kumhusisha mpenzi wake alimradi pana gari, dereva na barabara Chanzo chaweza kuwa mwendokasi, usingizi au hata uoni hafifu nk .
 
i think the driver is stupid!! and as per now if he aint in the hospital his probably in hell and our dear burial service are trying to dig a grave for this mofo this morning R.I.P Range Rover!!
 
Kama ni kweli walikuwa wakifanya hivo wakati Huu wa Mwezi wa toba alafu watu wanaendelea kufanya Maujinga ujinga tuuu haaaa bila shaka yoyote hiz zitakuwa Laana....
 
Nafuu tuwe tunaandika kiswahili au tunauliza kabla kuweka maneno ya Kingereza humu. Neno sahihi ni lipi? "Right Off" au "Written Off" ...
 
Huyu aliyekuwa naye ni mkewe wa ndoa na ni kijana anaitwa Emanueli Massawe na alikuwa anatoka Arusha kwenda Moshi Machame Lyamungo Kati labda alipata dharura ya mgonjwa( may be parent) no one knows.

Lakini SI KWELI KUWA ALIKUWA ANAFANYA MAPENZI NDANI YA GARI!! . Wote mke na mume walifariki on sport na maiti iko Mt. Meru Hospital Hii ni reliable source).

Ajali ilitokea majira ya saa 3 usiku barabara ya Arusha- Moshi maeneo ya kati ya King'ori na Kikatiti.
 
Back
Top Bottom