CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Habari zenu,
Leo majira ya saa 3 asubuhi katika barabara mpya la lami ya Kilimahewa gari ndogo aina ya Saloon ilimgonga mtoto mwenye umri wa kati ya miaka 9-12 na kufariki papo hapo.
Barabara hili limekuwa likigharimu maisha ya watu hasa watoto, cha ajabu hakuna aina yeyote ya kivuko ukizingatia kuna shule jirani na hii barabara.
Tunaomba wahusika ama watu walio karibu na wahusika wawafikishie taarifa hizi. Walau waweze vivuko vya "Zebra Crossing & road bumps" make barabara hii ipo kwenye mteremko. Sio mpaka watu waandamane ndipo vivuko viwekwe..
Asanteni...
Leo majira ya saa 3 asubuhi katika barabara mpya la lami ya Kilimahewa gari ndogo aina ya Saloon ilimgonga mtoto mwenye umri wa kati ya miaka 9-12 na kufariki papo hapo.
Barabara hili limekuwa likigharimu maisha ya watu hasa watoto, cha ajabu hakuna aina yeyote ya kivuko ukizingatia kuna shule jirani na hii barabara.
Tunaomba wahusika ama watu walio karibu na wahusika wawafikishie taarifa hizi. Walau waweze vivuko vya "Zebra Crossing & road bumps" make barabara hii ipo kwenye mteremko. Sio mpaka watu waandamane ndipo vivuko viwekwe..
Asanteni...