Hakika tufike mahali, kama Taifa, tukomeshe ajali hizi. Trafiki wanachokagua ni kadi za gari na leseni za udereva. Vehicle Inspectors hawakagui breki wala uimara wa gari. Poleni sana wana Arusha na wote walioumia.
Poleni watu wa arusha kwa janga hilo la ajali.
Nitafurahi pale itakapoamriwa magari yote ya abiria na binafsi yawe yanakaguliwa mara 2 kwa mwezi alafu wamilki wanapewa ushauri vitu vya kurekebisha, traffic polisi wabaki na kazi ya kuangalia usalama kwenye matumizi ya barabara tu ya ume-overtake sehemu isiyohusika unapigwa bao na sheria zinginezo, hizi sijui akikukamata anakuangalia kwanza usoni kupima confidence yako kisha anaomba leseni ukitoa anakuja na kadi mpaka akukamate ulipe fine ambayo wanaichukulia kama sehemu ya vyanzo vya mapato wakati fine ya mwisho kabisa (traffic wetu ukiondoa asubuhi na jioni mida ya foleni sehemu mbalimbali mchana ni kukaa kusubiri kusimamisha magari na kuuliza fire extinguisher na kadi ya gari tuHakika tufike mahali, kama Taifa, tukomeshe ajali hizi. Trafiki wanachokagua ni kadi za gari na leseni za udereva. Vehicle Inspectors hawakagui breki wala uimara wa gari. Poleni sana wana Arusha na wote walioumia.
Nitafurahi pale itakapoamriwa magari yote ya abiria na binafsi yawe yanakaguliwa mara 2 kwa mwezi alafu wamilki wanapewa ushauri vitu vya kurekebisha, traffic polisi wabaki na kazi ya kuangalia usalama kwenye matumizi ya barabara tu ya ume-overtake sehemu isiyohusika unapigwa bao na sheria zinginezo, hizi sijui akikukamata anakuangalia kwanza usoni kupima confidence yako kisha anaomba leseni ukitoa anakuja na kadi mpaka akukamate ulipe fine ambayo wanaichukulia kama sehemu ya vyanzo vya mapato wakati fine ya mwisho kabisa (traffic wetu ukiondoa asubuhi na jioni mida ya foleni sehemu mbalimbali mchana ni kukaa kusubiri kusimamisha magari na kuuliza fire extinguisher na kadi ya gari tu
Mkuu maeneo haya kitonga vs sekenke nimepanga nikipata mda ntakuja kuviona . Niliosoma nao wengi walisimulia kua vinatisha sana.