Ajali imetokea maeneo ya Kimara roli laanguka katikati ya barabara lasababisha foleni kubwa na msongamano source Cloudsfm Radio
lete picha basi..
lete picha basi..
wapuuz sana m nipo kimara hapa imepta sa1 na zaid hakuna cha trafic wala breakdown, nazan folen imefika ubungo sasa
very hopeless people under poor country !
STRABAG ni janga lingine la taifa, watu washakula hela zao wamepumzika beach huko c tunatimuliwa vumbi hapa barabara haiishi
Sometimes I wonder kama walio wapa strabag kazi ni watu wazima na akili zao au nima prefect wa bunge primary school . Maana kuna mambo mengi ni utoto tu. vituo viko kirani mno makona yasio ya laa . Barbar ni dual carriage wsy lkn magari mawili hayatoshi vzr. sijui mkuu wa shule yao hawa watoto yupo
lete picha basi..
na wewe lete picha hapa.., sio una bwabwaja tu.., nataka picha..Mleta habari kasima amepata news toka redioni sasa we unamdai alete picha, nadhani hukufikiri kabla ya kumjibu, ungeulia kwanza usingeandika hivyo. Kwa vile umeshaambiwa sehemu ya tukio una nafasi ya kwenda huko mwenyewe kushuhudia na utuletee picha unazoona ni muhimu zaidi ya ujume tulioletewa.
na wewe lete picha hapa.., sio una bwabwaja tu.., nataka picha..
Then zile kona zinasaidia sana kupunguza speed ni moja ya engineering technique ww unadhani pangenyooshwa hadi ubungo pangetokea nn? Au ya ubungo hadi posta ingenyooka ingekuwa vp, ajali kwenye kona ni dereva kuwa na speed, so mi sioni Kama wamekosea kuweka zile kona kona, strabag wako poa sana.....
Mi naona we ndio huna akili.., hivi hujui kwamba kwenye projects kuna makundi manne makuu yanayohusika?
1.) Msanifu wa mradi ,(ARCHITECT) Kama mimi hapa.
- huyu ndiye ana design kila kitu kuhusu barabara, vituo nk.
2.) Mkadiria majenzi, (Quantity surveyor) kama John Leo
- Huyo ndie anaandaa makadirio ya gharama za ujenzi
3.) Mhandisi wa nondo, (Structural engineer) kama Jacob swere
- yeye ndie anaamua kuhusu concrete ratios na viwango vya nondo
4.) wajenzi (civil engineers) kama hao strabag unao walaumu
- wao kazi yao ni kujenga amabacho kimeshadizainiwa.., hata kama wamedizaini utumbo.., yeye atajenga utumbo hivyo hivyo..!
UMENIUDHI KWELI..!!!