Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,057
- 2,637
Kuna ajali ya basi la MJS Safaris na Lori Semi trela yamegongana uso kwa uso na kuna vifo na majeruhi pia.
Mvua inanyesha sana maeneo haya.
======
Singida: Ajali ya Basi Kampuni ya MJS na Lori la Mizigo Kampuni ya Azam, imetokea leo Sherui na kusababisha majeruhi 6.
Sababu ya ajali ni Lori kuovertake gari dogo.
Lori lilikuwa linatokea Dar kuelekea Rwanda huku Basi ikiwa inatokea Igunga kuelekea Dar.
Mvua inanyesha sana maeneo haya.
======
Singida: Ajali ya Basi Kampuni ya MJS na Lori la Mizigo Kampuni ya Azam, imetokea leo Sherui na kusababisha majeruhi 6.
Sababu ya ajali ni Lori kuovertake gari dogo.
Lori lilikuwa linatokea Dar kuelekea Rwanda huku Basi ikiwa inatokea Igunga kuelekea Dar.