AJALI: Basi la Kiruto (Kondoa-Dar) lapinduka na kuua/kujeruhi watu kadhaa huko Gairo

Informer

JF-Expert Member
Jul 29, 2006
1,599
6,670
Basi la Kiruto lililokuwa linatokea Kondoa kwenda Dar limepata ajali mbaya maeneo ya Gairo...

Watu 3 wamepoteza maisha na majeruhi ni 35.

1452944785591.jpg


1452944807768.jpg
 
Hilo basi limefumuka juu wakati wa mshikemshike wa ajali au watu wameng'oa roof kuokoa majeruhi na maiti?
 
POLENI WOTE MLIOHUSIKA NA KUGUSWA NA MSIBA WA AJALI HII.
INNA LILLAH WA INNA ILLAHI RAJIUN.
 
Dah,ndo basi la kwenda kwetu hilo na warangi wengi ni ndugu....mungu awalaze mahali pema aminaaaa.
 
Back
Top Bottom