Kennedy mkude
Member
- Aug 4, 2016
- 8
- 10
Kilwa road kwa kweli ni kero kubwa.Habari wanajamii,
Naomba msaada ili serikali iweze kuwajibika kutokana na changamoto ya Kilwa road kutoka kokoto mpaka vikindu.
Kutokana na ubovu na wembamba/udogo wa hiyo Barabara basi imekuwa ni sehemu hatarishi Kila kukicha.
Usipokuta ajali basi kuna gari limeharibika kitu kinachoweza kupelekea kero na usumbufu Kwa watumiaji wa Barabara hiyo kwani unaweza kuja kukaa kwenye foleni mpaka hata masaa mawili Kwa umbali mdogo kama huo. Pia ajali zimekuwa ni nyingi zinazopelekea vifo.
Wahusika tunaomba mtusaidie katika hili na Mwenyezi Mungu awasimamie katika kuwajibika nalo.
Inaonekana ajali nyingi za hii njia haziripotiwi ndiyo maana hakuna hatua stahiki zinazochukuliwa. Kwa jinsi ajali za vifo zinavyotokea mara Kwa mara basi zote zingekuwa tunaziona kwenye vyombo vya habari basi mapema tungekuwa tumesolve hii issue.Hayo maeneo watu wanahamia kwa kasi kubwa hivyo barabara imekuwa finyu kutokana na wingi wa watu.
Inaonekana ajali nyingi za hii njia haziripotiwi ndiyo maana hakuna hatua stahiki zinazochukuliwa. Kwa jinsi ajali za vifo zinavyotokea mara Kwa mara basi zote zingekuwa tunaziona kwenye vyombo vya habari basi mapema tungekuwa tumesolve hii issue.Kilwa road kwa kweli ni kero kubwa.
Kuanzia Mbagala na machinga, kutelemka hadi Kongowe na foleni zake, na barabara finyu hadi Mkuranga, KERO kwa capital etters.
Hilo halikwepeki la kuvunja ili ujenge. Lazima waliokatika hifadhi za Barabara wapishe njia Kwa ajili ya maboresho ya njiaMko tayari mbomolewe barabara itanuliwe,maana mkitaka maendeleo lazima mvumilie maumivu pia
Ova
Ndiyo wapishe sasa barabara itanuliweHilo halikwepeki la kuvunja ili ujenge. Lazima waliokatika hifadhi za Barabara wapishe njia Kwa ajili ya maboresho ya njia
Ndiyo wapishe sasa barabara itanuliwe
O
Ndiyo wapishe sasa barabara itanuliwe
Ova
Kila kitu kina utatatibu wake, serikali inapotaka kufanya jambo lazime itangaze then baada ya hapo itatoka order na deadline yake, wahanga wanatakiwa wahame kwa hiari ndani ya muda ila wakikahidi wataamishwa na serikali Kwa kuvunjiwa. Sasa mtu hawez kutoka without government order mkuuNdiyo wapishe sasa barabara itanuliwe
Ova
Sawa sawaKila kitu kina utatatibu wake, serikali inapotaka kufanya jambo lazime itangaze then baada ya hapo itatoka order na deadline yake, wahanga wanatakiwa wahame kwa hiari ndani ya muda ila wakikahidi wataamishwa na serikali Kwa kuvunjiwa. Sasa mtu hawez kutoka without government order mkuu
Inaonekana ajali nyingi za hii njia haziripotiwi ndiyo maana hakuna hatua stahiki zinazochukuliwa. Kwa jinsi ajali za vifo zinavyotokea mara Kwa mara basi zote zingekuwa tunaziona kwenye vyombo vya habari basi mapema tungekuwa tumesolve hii issue.HIYO NJIA MPAKA TUSHACHOKA KUSEMA # KUANZIA MBAGALA HADI KONGOWE HIZO FOLENI NI SHIDA TU
HIYO NJIA MPAKA TUSHACHOKA KUSEMA # KUANZIA MBAGALA HADI KONGOWE HIZO FOLENI NI SHIDA TUPU
CCM ni janga. Wakubwa wanatanua na magari ya bei kubwa halafu wakumbuke huko swekeni? Kinukisheni wasipokuja kesho yake kutengeneza hiyo barabara.Habari wanajamii,
Naomba msaada ili serikali iweze kuwajibika kutokana na changamoto ya Kilwa road kutoka kokoto mpaka vikindu.
Kutokana na ubovu na wembamba/udogo wa hiyo Barabara basi imekuwa ni sehemu hatarishi Kila kukicha.
Usipokuta ajali basi kuna gari limeharibika kitu kinachoweza kupelekea kero na usumbufu Kwa watumiaji wa Barabara hiyo kwani unaweza kuja kukaa kwenye foleni mpaka hata masaa mawili Kwa umbali mdogo kama huo. Pia ajali zimekuwa ni nyingi zinazopelekea vifo.
Wahusika tunaomba mtusaidie katika hili na Mwenyezi Mungu awasimamie katika kuwajibika nalo.
Acha hizo wewe, hivi hiyo Barabara unaifahamu?? Unaelewa hizo ajali zinazozungumziwa hapo?? Juzi jumamosi kuna watu wamekufa, last three weeks ago pia pia hivyo with the same scenario...!!! Wewe kama unahitaji maendeleo hoji Kwa nafasi yako ila sio sisi tunapaza sauti wewe unaweka kizuizi. Shame on you nduguWatu wa Dar mnadhani hii nchi ni yenu peke yenu, Acheni kulia lia
Tuendelee kupaza sauti, Nina Imani itafika mahala sahihi. Au tukampe mange kimambi Nini?Hilo eneo lingekuwa wilaya ya kinondoni wangekuwa wameshajenga kitambo Toka hapo kokoto Hadi kongowe.
Shida ya kilwa road hakuna kiongozi anakaa huku ndiyo maana kilakitu ni shida Tu, Sisi wakazi wa huku tunakuwa na umuhimu kipindi cha uchaguzi Tu ili tuwape Kura CCM
Awamu ya saba lazima itatue hii kero.HIYO NJIA MPAKA TUSHACHOKA KUSEMA # KUANZIA MBAGALA HADI KONGOWE HIZO FOLENI NI SHIDA TUPU