Habari wanajamii,
Naomba msaada ili serikali iweze kuwajibika kutokana na changamoto ya Kilwa road kutoka kokoto mpaka vikindu.
Kutokana na ubovu na wembamba/udogo wa hiyo Barabara basi imekuwa ni sehemu hatarishi Kila kukicha.
Usipokuta ajali basi kuna gari limeharibika kitu kinachoweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.