Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,736
- 26,081
GENTAMYCINE eeeeh,njoo huku uweke kumbukumbu sawasawa,kuna wajingajinga wa vyura FC, wazee wa kukodisha timu yao kama fremu za Kariakoo wanachonga bila ya kuwa na kumbukumbu sahihi,njoo mkuu,au unasikilizia uteuzi wa Bodi mpya ya gazeti lako pendwa la Uhuru?