Yule mkali wenu! Au nimwambie umesema humjui?Gwajima ndio nani????
dudeGwajima ndio nani????
Nabi wa shetani lazma aungwe mkono na waovu wenziy
Yaani nimecheka saana we mkenya umepotea maboya vibaya yaani. Makonder hayupo Bali kuna Bashite pekee.Gwajima anaongoza kuwa maarufu tz akifuatiwa na bashite nafas ya tatu ni rc makonda na nne ni mh sizonje.