wewe mrangi acha kulalamika badala yake fanya kazi kwa bidii na maarifa, maisha mazuri unayo wewe mwenyewe na maisha magumu unayo wewe mwenyewe, fanya kazi na ulipe kodi zote za serikali bila kukwepa na kwa wakati.maisha ya tanzania kila siku afadhali ya jana....yaani huwa nkilala huwa natamani asubuhi isifike.......
maisha ya tanzania kila siku afadhali ya jana....yaani huwa nkilala huwa natamani asubuhi isifike.......