Sasa Nakadori kama K yako ni tamu kupitiliza, unategemea nini, watu si watakojoa kama jogoo.Nadhan una point kubwa sana 🤪🤪🤪
Waungwana salama,
Yaani week nzima unajiandaa kula tunda na mwenza wako halafu anakuja anakupa kifo cha mende kimoja (style ya mvivu) chaliii amelala hadi asubuhi nguvu hana tena. Unahangaika weee kumuamsha ndo ashalegea hvyoo yani bao moja na kulala fofofo.
Naomba mnielewe yanii anapokojoa anahema vibaya na kuishiwa nguvu kabisa na usingizi juu kwa juu unambeba hadi ninamtikisa kuona kama bado uhai upo au ndo nimeua.
Hebu tafuteni mkongo muongeze hzo nguvu.
Wakoromaji na 30 seconds Nasubiri mawe yangu mnipopoe nimekaa pale.
Watukanaji mje na matusi mapya