Ni unlimited mpaka tarehe ya mwisho wa bundle husika. Mfano ukijiunga na bundle ya mwezi tsh.30,000: Jambo la kwanza utapewa 2GB tu, ambapo utakuwa na UNLIMITED SPEED, Pili ukimaliza hizo 2GB, utapata UNLIMITED USAGE mpaka muda wako utakapo kwisha. TATIZO ni hili: Ukimaliza tu hizo 2gb, Spidi itashuka na haitozidi 10KB/s (kwenye IDM)hata kama upo eneo la 3g (au 3.7g) hivyo hautoweza kufanya chochote cha maana kwa hii spidi, japokuwa wao wanadai wanakupa speed ya 64KB/s. Bila shaka nitakuwa nimejibu swali lako.
USHAURI: Tuendele kutumia ile bundle ya tsh 2500 kwa MB400, uzuli wake kwa sasa waweza kujiunga mara nyingi kadri utakavyo kwa siku na spidi ni kubwa.Just kwa kupiga *154*44#
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.