Airtel msinipigie simu tena nitawashitaki

Airtel msinipigie simu tena nitawashitaki

SAUTI YAKO

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
2,947
Reaction score
2,032
Niko busy nafanya mambo yangu,mara simu ikaanza kuita,tena namba ngeni +255784105583 muda ulikuwa sa 14:14 mchana huu.

Nilikuwa naongea na mtu,nkamkatisha ili nipokee simu ngeni,maana uwez jua anayepiga yuko kwenye mazingira gani muda huo,si unajua tena si watu wenye familia.

BAada ya simu kuita kidogo nkapokea kwa shauku kujua ni nani anapiga.

Mi nasema hallow eti nakutana na tangazo la kununua wimbo wa kuweka ili wanaonipigia wasikie,wakati wanaonipigia simu mimi asilimia tisini ni watoto wa mjini na habari hizi za kusikliliza simu ya mtu inaitaje ni za huko bush.

Pia ata hao wapigajI wenyewe walivyo na mishe mishe za maisha muda huo wa kusikiliza milio wanautoa wapi
Mamlaka inayohusika na kudhibiti hii mitandao iko wapi,mbona watumiaji wa simu tunasumbuliwa hivi.

One day mtakuja fanya tushindwe kutoa msaada kwa mtu atayekuwa akiitaji msaada kwa kuhofia au kupuzia kupokea namba ngeni kwa kudhani ni nyie mnaopiga.

Tumien radio,tv,mitandao,mabango matangazo yatatufkia.Mkrudia tena kunisumbua itabidi nichukue hatua
 
Hujakosea mkuu mi mwenyewe ni mmojawapo wanaosumbuliwa,,but now hako kanamba kao nimekasave wakipiga tu cpokei nakata,,mchezo unakuwa over
 
Hujakosea mkuu mi mwenyewe ni mmojawapo wanaosumbuliwa,,but now hako kanamba kao nimekasave wakipiga tu cpokei nakata,,mchezo unakuwa over

nilishawahi kumsikia mmbunge mmoja akiliongelea hili bungeni,lakini sidhani kama mamlaka inayohusika ishawah kuwaita,au kuwakemea wenye mitandao juu ya swala lao hili la usumbufu wanaotusababishia watumiaji wa simu,tena mtu labda mcha Mungu unamwambia achague wimbo wa ally kiba,wakat ye ni mchungaji au sheikh,waumini watamuelewaje kiongozi wao amewawekea YA MOTO.walau mngekuwa mnapiga simu kwa kumjua mtu yukoje.sio mnajipigia tu inakuwa shida
 
N
nilishawahi kumsikia mmbunge mmoja akiliongelea hili bungeni,lakini sidhani kama mamlaka inayohusika ishawah kuwaita,au kuwakemea wenye mitandao juu ya swala lao hili la usumbufu wanaotusababishia watumiaji wa simu,tena mtu labda mcha Mungu unamwambia achague wimbo wa ally kiba,wakat ye ni mchungaji au sheikh,waumini watamuelewaje kiongozi wao amewawekea YA MOTO.walau mngekuwa mnapiga simu kwa kumjua mtu yukoje.sio mnajipigia tu inakuwa shida
Shida kama hiyo ilinikuta zantel ,tena wao sio namba moja ni zaidi ya tatu ,nikawaandikia email moja ndeefu yenye vitisho vinavyotekelezeka nikatolewa faster na kuombwa radhi!
 
Mkuu mitandao yote ni shida tupu, nimepigiwa simu na 0717 nipo na boss ananipa maelekezo mara simu inaita boss kaingia ofisini ananipisha niongee na simu napokea utumbo mtupu, swali langu ni NANI ANALIPIA GHARAMA HIYO? mara meseji zisizo na maana kwa nini lakini? nilichogundua ni kimoja tu wamejaribu kushawishi tufuate upuuzi wao tumekataa sasa wanakutumia sms ukiifungua tu umekatwa pesa kama si wizi ni nini? tena kama VODA ni mbaya kabisa wasigundue unapesa kwenye simu yaani wanahakikisha wameikomba yote.
 
nilishawahi kumsikia mmbunge mmoja akiliongelea hili bungeni,lakini sidhani kama mamlaka inayohusika ishawah kuwaita,au kuwakemea wenye mitandao juu ya swala lao hili la usumbufu wanaotusababishia watumiaji wa simu,tena mtu labda mcha Mungu unamwambia achague wimbo wa ally kiba,wakat ye ni mchungaji au sheikh,waumini watamuelewaje kiongozi wao amewawekea YA MOTO.walau mngekuwa mnapiga simu kwa kumjua mtu yukoje.sio mnajipigia tu inakuwa shida

Mkuu siku hizi unaweza pokea sms ikikwambia asante kwa kuchagua mwimbo fulani wakati wala hujafanya hivyo au jamaa yako anakupigia simu anakuuliza "Hv siku hz umekuwa mkristo/msilamu " maana wanakuchomekea mwimbo wa dini si yako halafu wanakata pesa? Labda mamlaka husika hawatumiwi upuuzi huu!!!!!.
 
Hujakosea mkuu mi mwenyewe ni mmojawapo wanaosumbuliwa,,but now hako kanamba kao nimekasave wakipiga tu cpokei nakata,,mchezo unakuwa over



Wamekuongezea ajira isiyokuwa na malipo, hawa ni wapuuzi sana
 
Wamekuongezea ajira isiyokuwa na malipo, hawa ni wapuuzi sana

na kila siku nna kazi ya kufuta sms yao ile ya tangazo la kuongezewa unit za luku eti ntaponunua umeme kupitia airtel money.Hiv kwel unaweza rudia mtumia mtu sms hiyo kila siku.Nimechoka kuzifuta,sasa nazihifadhi kama ushahidi na leo waitume tena
 
nyambafu sana hao.....airtel. mi nimeiblock hiyo namba sipendi kabisa uopuuzi wao.
Niko busy nafanya mambo yangu,mara simu ikaanza kuita,tena namba ngeni +255784105583 muda ulikuwa sa 14:14 mchana huu.

Nilikuwa naongea na mtu,nkamkatisha ili nipokee simu ngeni,maana uwez jua anayepiga yuko kwenye mazingira gani muda huo,si unajua tena si watu wenye familia.

BAada ya simu kuita kidogo nkapokea kwa shauku kujua ni nani anapiga.

Mi nasema hallow eti nakutana na tangazo la kununua wimbo wa kuweka ili wanaonipigia wasikie,wakati wanaonipigia simu mimi asilimia tisini ni watoto wa mjini na habari hizi za kusikliliza simu ya mtu inaitaje ni za huko bush.

Pia ata hao wapigajI wenyewe walivyo na mishe mishe za maisha muda huo wa kusikiliza milio wanautoa wapi
Mamlaka inayohusika na kudhibiti hii mitandao iko wapi,mbona watumiaji wa simu tunasumbuliwa hivi.

One day mtakuja fanya tushindwe kutoa msaada kwa mtu atayekuwa akiitaji msaada kwa kuhofia au kupuzia kupokea namba ngeni kwa kudhani ni nyie mnaopiga.

Tumien radio,tv,mitandao,mabango matangazo yatatufkia.Mkrudia tena kunisumbua itabidi nichukue hatua
 
nilishawahi kumsikia mmbunge mmoja akiliongelea hili bungeni,lakini sidhani kama mamlaka inayohusika ishawah kuwaita,au kuwakemea wenye mitandao juu ya swala lao hili la usumbufu wanaotusababishia watumiaji wa simu,tena mtu labda mcha Mungu unamwambia achague wimbo wa ally kiba,wakat ye ni mchungaji au sheikh,waumini watamuelewaje kiongozi wao amewawekea YA MOTO.walau mngekuwa mnapiga simu kwa kumjua mtu yukoje.sio mnajipigia tu inakuwa shida


Haohao walio lalamika mjengoni ndiyo waliomo mifukoni mwa hiyo kampuni sumbufu, hapo unategemea nini
 
na kila siku nna kazi ya kufuta sms yao ile ya tangazo la kuongezewa unit za luku eti ntaponunua umeme kupitia airtel money.Hiv kwel unaweza rudia mtumia mtu sms hiyo kila siku.Nimechoka kuzifuta,sasa nazihifadhi kama ushahidi na leo waitume tena



Halafu ni kama vile hawana muwakilishi humu, marketing strategy yao ni very childish
 
mda huu nimetoka kupokea ya voda,wenyewe ni namba special unaweza kata ukiona tu.Hivi tumewambia nyie mitandao si tunataka hiyo milio.
 
Kwakweli inaudhi sana yaani airtel wanakata hela bila mpangilio unakuta umeweka vocha ya elfu moja ukajiunga na kifurushi cha 499,ukiangalia salio unakuta ile iliobaki wamekata yote tena unatumiwa msg ya mwananchi sijui mechi fulani imefungwa mara mchezaji furani kafanya vile,jamani mamlaka husika eleweni sio wote ni washabiki wa vitu hivyo na isitoshe bajeti ya mtu wa hali ya chini niya kawaida sana sasa wanapokata kwakweli ni shida sana!
 
Mie kwangu huwa napigiwa na namba flani hivi mara kwa mara nimeisave FATAKI na kuiweka kwenye blacklist.!!
 
Wanatuletea ujinga wa sms za ebola, nani kawaambia tunahitaji sms za hovyo??
 
nilishawahi kumsikia mmbunge mmoja akiliongelea hili bungeni,lakini sidhani kama mamlaka inayohusika ishawah kuwaita,au kuwakemea wenye mitandao juu ya swala lao hili la usumbufu wanaotusababishia watumiaji wa simu,tena mtu labda mcha Mungu unamwambia achague wimbo wa ally kiba,wakat ye ni mchungaji au sheikh,waumini watamuelewaje kiongozi wao amewawekea YA MOTO.walau mngekuwa mnapiga simu kwa kumjua mtu yukoje.sio mnajipigia tu inakuwa shida

hahaha dah!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom