Biashara nomaaaaaaaa,tcu wamekula mkataba na airtell bwna,iyo iko wazi,saiz wanajifanya wait official annauncement!hivyi katika akili ya kawaida,airtell watachukua information tcu bila kuluisiwa!hiyo trick ya tcu,wajistukia sasa.haya kila mbuzi anakula kulingana na ulefu wa kamba yake.:wave: