Airtel kujitoa kwenye Data services?

Airtel kujitoa kwenye Data services?

mpinga shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,234
Reaction score
959
Kuna tetesi kuwa baada ya kuelemewa sana, huenda Airtel ikajitoa kabisa kwenye huduma ya data na Internet hivyo kubaki kwenye voice tu.
Spidi ndogo ya mtandao huo kwa sasa, huwezi hata kuattach kafaili kadogo, inafanya wengine tukubali ndio wanaishia hivyo
 
Tutahamia Smart.... Siku hizi airtel imekuwa kimeo mno, kila mara watu wananilalamikia kuwa nazima simu na kweli huwa naona notification kuwa wamenitafuta. Ilhali simu yangu huwa on 24/07....
 
Kuna tetesi kuwa baada ya kuelemewa sana, huenda Airtel ikajitoa kabisa kwenye huduma ya data na Internet hivyo kubaki kwenye voice tu.
Spidi ndogo ya mtandao huo kwa sasa, huwezi hata kuattach kafaili kadogo, inafanya wengine tukubali ndio wanaishia hivyo

Take that with a huge grain of salt, it's impossible if not improbable to leave the data business. They may as well shut down the company.
 
Wamekazana kutengeneza offer lakini quality ya service hawajazingatia, kampuni inaendeshwa na marketing department sana. Ila hawawezi kujitoa kwenye data kamwe.
 
Kuna tetesi kuwa baada ya kuelemewa sana, huenda Airtel ikajitoa kabisa kwenye huduma ya data na Internet hivyo kubaki kwenye voice tu.
Spidi ndogo ya mtandao huo kwa sasa, huwezi hata kuattach kafaili kadogo, inafanya wengine tukubali ndio wanaishia hivyo

Chanzo cha tetesi hizo?
 
Haya MAGUMASHI sasa yanafika mwisho
Tatizo ni kuuziana makampuni kiholela na kukimbia madeni na Kodi
haya Zain kamuuzia Airtel
Watu walishachukua chao mapema na kuwaacha TTCL wakigaagaa bila mafao walipoporwa na CelTel chini ya viongozi wa Serikali
 
Hizi ni ndoto eti kampuni ya simu za mkononi kujitoa kwenye data services...!!
U must b kidding
 
Hizi ni ndoto eti kampuni ya simu za mkononi kujitoa kwenye data services...!!
U must b kidding

(s)he must be kidding kwa kweli mkuu kampuni ya simu bila ya data service itawezekana vipi wao wenyewe mawasiliano yao na kazi zingine zinazohitaji internet watatumia nini kuwasiliana au watatumia isp mwingine wakati kwao hawatoi hiyo huduma pia device nyingi za sasa hivi zinahitaji internet connection zifanye kazi sasa mtu ataitumiaje ikiwa anamtandao wa airtel that meaans airtel watapoteza wateja kitu ambacho hawawezi kukubali.
 
wanaboa sana,Mb zangu za wiki iliisha baada ya lisaa na haikubali kujiunga hadi wiki iishe.Maajabu ya Airtel
 
There is no such thing mkuu...

Kutokana na biashara ya mawasiliano ya simu ilivyo, makusanyo ya mapato yapelekeayo faida yanahama kutoka upande wa VOICE/SMS kuelekea DATA...

Introduction ya mechanisms zinazoboresha mapato kama dynamic tariff, policy and charging rule control etc zote zinatoa picha ni namna gani ambavyo DATA bado ni muhimu...

Hivyo binafsi hizi tetesi ziwezi kuziamini hata kidogo...
 
No telecom biz in this era without data services..otherwise labda wakafungue biashara ya fast food!
 
kila mtu na matatizo yake....mimi mwenyewe wamenikera Vifurushi vyote vya Internet vya Rahisi wamevipandisha, Airtel Yatosha cha siku cha 1.5 Gb kwa Tsh999 sasa wameweka Mb300 tu!!!!!
 
Hahaha! Hawa Airtel wanachekesha sana. Siku moja nilipiga huduma kwa wateja kuwauliza kwamba mbona maeneo nilipo hakuna coverage ya 3G network eti wakawa wanang'ang'ana kunitumia internet settings. Majanga kweli.
 
Hadi naogopa ss hela yangu ya airtel money cjui niitoe

Hakuna mtandao wa uhakika kama aitel amini nawaambieni.na myie mnao lalamika kuhusu uslow wa internet labda mazingira ya huko ushirombo kwenu mboa wengine tunapeta nayo hadi raha,
 
Hakuna mtandao wa uhakika kama aitel amini nawaambieni.na myie mnao lalamika kuhusu uslow wa internet labda mazingira ya huko ushirombo kwenu mboa wengine tunapeta nayo hadi raha,

Nashangaa wakati airtel ni bonge la mtandao!
 
Back
Top Bottom