mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,234
- 959
Kuna tetesi kuwa baada ya kuelemewa sana, huenda Airtel ikajitoa kabisa kwenye huduma ya data na Internet hivyo kubaki kwenye voice tu.
Spidi ndogo ya mtandao huo kwa sasa, huwezi hata kuattach kafaili kadogo, inafanya wengine tukubali ndio wanaishia hivyo
Spidi ndogo ya mtandao huo kwa sasa, huwezi hata kuattach kafaili kadogo, inafanya wengine tukubali ndio wanaishia hivyo