Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Kwa muda wa wiki tatu sasa nipo mkoani Mbeya. Wilaya niliyofikia mwazo hakuna huduma ya 3G kwa mitandao ya airtel, tigo na voda. Pale watu wanatumia EDGE/GPRS ambayo ina speed ya kobe. Leo nipo Mbeya mjini, nimejaribu kuconnect kamodem kangu ka airtel kupitia WCDMA imeshindikana. Swali kwa wenyeji, je ni kamodem kangu kimeo au ni airtel hawana huduma ya 3G hata hapa mjini?