The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,528
- 18,051
Natumia laini ya Airtel. Wana vifurushi favourable ila 4G yao ni disaster. Iko very very slow.
Juzi hapa nilijaribu 4G ya Halotel iko safi ni kama ya Vodacom. Sijawahi kujaribu ya Tigo ila hii ya Airtel ni majanga.
Kweli vitu vya bure ni gharama sana.
Juzi hapa nilijaribu 4G ya Halotel iko safi ni kama ya Vodacom. Sijawahi kujaribu ya Tigo ila hii ya Airtel ni majanga.
Kweli vitu vya bure ni gharama sana.