Naam, umeeleza sahihi kabisa.Jukumu la kusimamisha ndege kufanya kazi kutokana na matatizo ya engine siyo la mnunuaji, ni la manufacturer wa injini za ndege husika. Aidha zoezi hili huwa siyo la nchi moja bali la nchi zote duniani ambako injini hizi zinatumika
Fasta fasta
BUSH BIN LADEN
stephot
Obama wa Bongo
Eddo Sambai
Chillah
Slowly