kulangwa22
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 739
- 546
Tako mbwagiko tepetepe yan
subiri zamu yko itakuja kesho ...leo tuna deal na misambwanda tu"""Flat screen hujatutaja mtoa mada ua noti fea![]()
duuuhhh huu mtazamo hapana aiseee ...kwahiyo kama huna mwanamke bado hujafanikiwa ....hii hapana aiseeeAliyekwambia mwanamke kwa nchi zetu, kuwa si maendeleo ni nani? Kuwaza mwanamke ni kuwaza maendeleo.
Utapata kazi, utapata nyumba/pesa bila mwanamke utasema umeendelea?
hahahaaaa watu mpo makini ktika sekta zenu aisee
Hilo aina ya Bumper liatakuwa ni la mchina. Upande mmoja kuuubwa! Upande mwingine dogo.hahahaaaa watu mpo makini ktika sekta zenu aisee