Aina mpya ya mrija badala kikombe??

Hawa ni ndugu zake John Pombe Magufuli (Wa-SUBI) kutoka Biharamulo - Hiyo pombe inaitwa "endimansi"!
 
Mkuu hii si aina mpya, kule home Biharamulo huwa tuna kunywa hivi, sharing na mambo ya kacha hayo! Shida mtu akishalewa anavuta halafu anarudisha humo humo!
 
kwa hapo,hapana.mtu si unaweza ukafanya vise versa,unarudisha humo humo
 
mambo ya kawaida haya miaka ya 47 hasa lake zone.kwa sasa yamepitwa na wakati. hapo ni kunywa mate ya mwenzako tu
 
Tamaduni nyingine siyo za kuendekeza, huo ni uchafu tu.

Umewahi kuwala denda au kuliwa denda na wangapi? Mbona upo tu. Mate mara zote ni dawa. Kama yana magonjwa ni asilimia ndogo sana. Mimnimeipenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…