matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,538
- 15,175
1: Wenyenyumba wastaafu au ambao hawaaendi popote muda wote wako nyumbani wanawafuatilia wapangaji utadhani mgamo wa jiji.
Hapa inabidi uwe na Moyo wa chuma, inginevyo utahama tu.
2: Wale ambao wanaishi mbali ila wakija hapo ni kivumbi, kelele, kugomba, kukosoa na kutisha.
3:Wale ambao wanawaonea wivu wapangaji wao, wakiona wanamaisha bora, wanakula vizuri wanafikilia kuwapandishia bei ya pango na kuwavuna zaidi.
4:Kuna wale washua wanapesa lkn wakikupa muda, ukipitiliza kulipa kodi ni kesi hata mahakamani utapelekwa hawataki longolongo. Hapa pia wapo washua ambao hawana uswahili wao wakiisha kukupangisha hawakufuatilii wanachotaka ulipe tu pesa yao.
5:Kuna wale wanaomvizia mke wako, au watoto wako wa kike ili wachepuke nao. Hawa nao wanaleta ukaribu na wanawake zaidi.Utawasikia '' Shemeji leo nikuote dina" hahaha
6:Kuna wale ambao wake zao wananguvu na wanawatawala, Hapo mkuu utake usitake huyo mwanamke ndiye atakaehamua ubaki au uondoke bila kujali umewakosea au la.
Vipi wakuu,
Umewahi kukutana na wenye nyumba wenye utata gani na uliwadhibiti vipi?
Wasaidie wapangaji wapya jinsi ya kupammbana na songombingo za wenye nyumba
Hapa inabidi uwe na Moyo wa chuma, inginevyo utahama tu.
2: Wale ambao wanaishi mbali ila wakija hapo ni kivumbi, kelele, kugomba, kukosoa na kutisha.
3:Wale ambao wanawaonea wivu wapangaji wao, wakiona wanamaisha bora, wanakula vizuri wanafikilia kuwapandishia bei ya pango na kuwavuna zaidi.
4:Kuna wale washua wanapesa lkn wakikupa muda, ukipitiliza kulipa kodi ni kesi hata mahakamani utapelekwa hawataki longolongo. Hapa pia wapo washua ambao hawana uswahili wao wakiisha kukupangisha hawakufuatilii wanachotaka ulipe tu pesa yao.
5:Kuna wale wanaomvizia mke wako, au watoto wako wa kike ili wachepuke nao. Hawa nao wanaleta ukaribu na wanawake zaidi.Utawasikia '' Shemeji leo nikuote dina" hahaha
6:Kuna wale ambao wake zao wananguvu na wanawatawala, Hapo mkuu utake usitake huyo mwanamke ndiye atakaehamua ubaki au uondoke bila kujali umewakosea au la.
Vipi wakuu,
Umewahi kukutana na wenye nyumba wenye utata gani na uliwadhibiti vipi?
Wasaidie wapangaji wapya jinsi ya kupammbana na songombingo za wenye nyumba