financial services JF-Expert Member Joined May 17, 2017 Posts 18,141 Reaction score 43,367 Feb 14, 2025 #22 Dr. Mariposa said: Hahahahaha mwanaume ni kiumbe kinachotakiwa kifutike kabisa kwenye uso wa dunia, hakina faida zaidi ya hasara Click to expand... Wanaume Wamekukwaza nini Dr. M ? hivi umefikiria kama una ndugu zako wa kiume, brothers, uncles, baba je wafutike pia?
Dr. Mariposa said: Hahahahaha mwanaume ni kiumbe kinachotakiwa kifutike kabisa kwenye uso wa dunia, hakina faida zaidi ya hasara Click to expand... Wanaume Wamekukwaza nini Dr. M ? hivi umefikiria kama una ndugu zako wa kiume, brothers, uncles, baba je wafutike pia?
Mwanamayu JF-Expert Member Joined May 7, 2010 Posts 11,701 Reaction score 6,932 Feb 14, 2025 #23 Dr. Mariposa said: Hahahahaha mwanaume ni kiumbe kinachotakiwa kifutike kabisa kwenye uso wa dunia, hakina faida zaidi ya hasara Click to expand... Wewe ulitokeaje bila mwanaume?! Halafu huyo daktari wa wanawake ni kwa sababu ya mfumo wa uzazi wa mwanaume na mwanamke kuwa tofauti - mwanamke anabeba mimba na care kubwa inahitajika ili kuhakikisha afya ya mama na mtoto kabla ya kuzaliwa.
Dr. Mariposa said: Hahahahaha mwanaume ni kiumbe kinachotakiwa kifutike kabisa kwenye uso wa dunia, hakina faida zaidi ya hasara Click to expand... Wewe ulitokeaje bila mwanaume?! Halafu huyo daktari wa wanawake ni kwa sababu ya mfumo wa uzazi wa mwanaume na mwanamke kuwa tofauti - mwanamke anabeba mimba na care kubwa inahitajika ili kuhakikisha afya ya mama na mtoto kabla ya kuzaliwa.
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 42,451 Reaction score 50,186 Feb 14, 2025 Thread starter #24 Munari said: Urologist Click to expand... Lakini hata wao wanakojoa mkuu
MubengaJr Senior Member Joined Oct 14, 2022 Posts 174 Reaction score 364 Feb 14, 2025 #25 Faana said: Nimeona aina mbalimbali za madaktari kama ifuatavyo 👇 ila sijaona Doctor of Men View attachment 3235952 Click to expand... Waambie BAKITA wakupe Kiswahili chake.
Faana said: Nimeona aina mbalimbali za madaktari kama ifuatavyo 👇 ila sijaona Doctor of Men View attachment 3235952 Click to expand... Waambie BAKITA wakupe Kiswahili chake.
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 42,451 Reaction score 50,186 Feb 14, 2025 Thread starter #26 MubengaJr said: Waambie BAKITA wakupe Kiswahili chake. Click to expand... Wako humu hawajasema