Leo nilikua sijiskii
fresh so sikutoka home, jioni hii nimetoka kunyoosha miguu nikaamua
kumtembelea best yangu ambae tunaishi jirani, we!kufika nikakuta
anachoma vitu nguo, picha navinginevyo, na the way niliona vile vitu ni
vya kikekike nikamuuliza sababu ya kuvichoma moto akanipa sababu ambayo
imenisukuma kushare na wana MMU, kwamba wamekosana na mpz wake so hataki
kuona hata kumbukumbu ya kitu chake chochote ndani ya nyumba yake
kinachomhusu huyo mdada,
na huyu ni kama mtu wa tatu namwona akifanya jambo hilo kwani
nilishashuhudia jamaa akichoma gari, hivi huu ni wivu wa aina gani?na
bado nikajiuliza it means hawatakutana tena au kusalimiana as far
wanafanya kazi kampuni moja,JE?