Aina hii ya wivu ni ujinga au ujanja?

Aina hii ya wivu ni ujinga au ujanja?

Tarime one

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2013
Posts
2,246
Reaction score
1,740
Leo nilikuwa sijisikii fresh so sikutoka home, jioni hii nimetoka kunyoosha miguu nikaamua kumtembelea best yangu ambae tunaishi jirani.

Kufika nikakuta anachoma vitu nguo, picha na vinginevyo, na the way niliona vile vitu ni vya kikekike nikamuuliza sababu ya kuvichoma moto akanipa sababu ambayo imenisukuma kushare na wana MMU, kwamba wamekosana na mpenzi wake so hataki kuona hata kumbukumbu ya kitu chake chochote ndani ya nyumba yake kinachomhusu huyo mdada.

Huyu ni kama mtu wa tatu namwona akifanya jambo hilo kwani nilishashuhudia jamaa akichoma gari, hivi huu ni wivu wa aina gani? na bado nikajiuliza it means hawatakutana tena au kusalimiana as far wanafanya kazi kampuni moja.
 
Leo nilikua sijiskii fresh so sikutoka home, jioni hii nimetoka kunyoosha miguu nikaamua kumtembelea best yangu ambae tunaishi jirani, we!kufika nikakuta anachoma vitu nguo, picha navinginevyo, na the way niliona vile vitu ni vya kikekike nikamuuliza sababu ya kuvichoma moto akanipa sababu ambayo imenisukuma kushare na wana MMU, kwamba wamekosana na mpz wake so hataki kuona hata kumbukumbu ya kitu chake chochote ndani ya nyumba yake kinachomhusu huyo mdada,
na huyu ni kama mtu wa tatu namwona akifanya jambo hilo kwani nilishashuhudia jamaa akichoma gari, hivi huu ni wivu wa aina gani?na bado nikajiuliza it means hawatakutana tena au kusalimiana as far wanafanya kazi kampuni moja,JE?

Mmmhhmmm kazi Kweli Kweli. Ki upande wangu kama wameachana kabisa si tatizo kwa wanaotaka kumove on complete. But ni uungwana kumpa mwenye vitu vyake a chance ya kuvichukua , akivikataa then you deal with those stuffs. Wengi wao tunaamini kuanza upya kimaisha or ukurasa mpya Wa mahusiano ni vizuri to forget everything about your ex , how will they do? Moja wapo ni hiyo , dear . Hebu tuwasikilize wengine please. Thanks!
 
wewe unashangaa kuchomeana vitu ??
wengine wanachomana wenyewe
 
Mmmhhmmm kazi Kweli Kweli. Ki upande wangu kama wameachana kabisa si tatizo kwa wanaotaka kumove on complete. But ni uungwana kumpa mwenye vitu vyake a chance ya kuvichukua , akivikataa then you deal with those stuffs. Wengi wao tunaamini kuanza upya kimaisha or ukurasa mpya Wa mahusiano ni vizuri to forget everything about your ex , how will they do? Moja wapo ni hiyo , dear . Hebu tuwasikilize wengine please. Thanks!

Hahahahaaaa, but still sio solution coz hujui leo na kesho mtakutana wapi, na pia huwa naamini ukifanya hivyo bado huwa unampenda x wako kwa kutuliza machungu wanafanya hivyo.
 
Hahahahaaaa, but still sio solution coz hujui leo na kesho mtakutana wapi, na pia huwa naamini ukifanya hivyo bado huwa unampenda x wako kwa kutuliza machungu wanafanya hivyo.

Ndugu mapenzi uwiii. Ndio maana ninasema Tuko tofauti mpendwa . wengine tunatumia hiyo kuondosha machungu aahhhaaaa especially kama alikutenda vibaya kwa maana wanaume kwa kututenda duuh kiboko (just a joke ) ahahha. Sometimes ni hasira mpendwaa , aahhhhaa. So ili kuondosha au kupunguza machungu na hutaki kumkumbuka huyo ex mmmmhhhh then I guess hiyo ndio solution , kwa hao wanaotumia hii. Thanks!
 
Ahha huo sio wivu hata hizo.zinaitwa hasira zikipoa ndo ataanza kujutia why nimechoma moto!!! Na je akivichoma hawarudiani tena???
 
Na kama walipata mtoto ataweza kumchoma ili kufuta kumbukumbu ya mpenzi wake?
 
Leo nilikua sijiskii fresh so sikutoka home, jioni hii nimetoka kunyoosha miguu nikaamua kumtembelea best yangu ambae tunaishi jirani, we!kufika nikakuta anachoma vitu nguo, picha navinginevyo, na the way niliona vile vitu ni vya kikekike nikamuuliza sababu ya kuvichoma moto akanipa sababu ambayo imenisukuma kushare na wana MMU, kwamba wamekosana na mpz wake so hataki kuona hata kumbukumbu ya kitu chake chochote ndani ya nyumba yake kinachomhusu huyo mdada,
na huyu ni kama mtu wa tatu namwona akifanya jambo hilo kwani nilishashuhudia jamaa akichoma gari
, hivi huu ni wivu wa aina gani?na bado nikajiuliza it means hawatakutana tena au kusalimiana as far wanafanya kazi kampuni moja,JE?

kutunga nako ni kipaji, acha kabsa uongo!
 
Hahahahaaaa , ni kweli si unaona shigongo anamake living kwa kutunga, kama mawazo yako yako sahihi.

nimekusoma mkuu, lakn umejitahidi sana maana watu wengi wanafikiri ni ukweli.

mkuu unaweza!!! jf nisehemu ya kufanyia mazoezi kama unadonto za kuwa mtungaji. asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom