Aina 8 za wanawake hatari

MUKHTALIYA alikuwa mke wangu wa kwanza nilijuta, nilifurahi sana nilipo achana nae.
MUKHTALIYA - Huyu ni mwanamke mwenye tabia ya kujivua yaani mara kwa mara hupenda kuomba talaka hata kosa si kosa yeye keshataka aachike tu, huyu hafai hasa ukimpenda sana atakusumbua ni tabia mbaya mwanamke kutaka talaka ovyo
 
Mbona kma wote wataingia kwenye moja wapo ya hayo makundi?
 
Bora niishi na huyo namba 6 tu basi
6 AL BARRAAKAH - Mwenye kumemetuka, huyu hupenda kujipamba akiwa anakwenda kazini,sokoni au shughulini ila nyumbani hajipambi ng' oo huyu analeta ugonjwa wa moyo
 
Maombi yenu jamani bomu langu Namba 8,
8 AL HADDAAQA - Huyu mara nyingi kila anachokiona yeye anakitaka tu anapenda maisha ya kifakhari kama huna uwezo atakutoa kibiongo.
 
Wanawake wa aina hiyo ni kuachana nao Kwa amani waondoke wakatafute wanapoweza kufanya hayo mambo.Tena kile kipindi akishazaa Kwa uchungu nryo muda sahihi wa kumbwaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…