Una ingia kwenye aina zote 16?Sifa zote izo ninazo,sasa sijui na mimi kundi Gani..!?[nipe Jibu]
Sababu maamuzi na kujiendesha kwangu, hutegemea Eneo na Hali husika.
Mimi sio BoYa mpaka niruhusu mtu mwingine anitafsiri Anavyohisi yeye.
Kwa ufupi Mimi huwa chochote nitakacho kuwa.Kwenye Haiba
Mimi pia ni logician naamini hakuna mtu anaishi maisha mazuri duniani kama logicianIngawa nimeona nina elements za Architects lakini 98% mimi ni Logician, kitu kisicho na Logic kwangu kunifanya nikifanye/kifatilia hilo sahau!.
Unaweza kwenda na mie sehemu kufanya ishu na nikabase na kile kilichotupeleka nisifatilie vitu vingine kabisa, hata kutembea tunaweza tembea lakini nitaconcetrate na barabara au vile vyenye umuhimu, mambo ya nani napishana nae huwa siyajali.
Wanaonizunguka huwa ninawapa msemo naoupenda zaidi There always is Emergence and Importance (kuna jambo la Dharula na la Muhimu) ukitaka nipata kukusaidia juwa kuzitofautisha!.
Mahusiano kwangu sio kitu cha lazima sana unless necessity calls but im very caring if my partner understand me the way i am!. Kutokana na hilo huwa sina haja ya kukaa kumchunguza saana mtu nayekuwa nae mahusiano.
Bday yangu ni No. 4.
Yeah tunakuwa na Amani sana, hata mtu akikuudhi mpaka ukasirike ni umetafuta Logic ya kwanini kafanya!.Mimi pia ni logician naamini hakuna mtu anaishi maisha mazuri duniani kama logician
Life of not giving a f*ck
mkuu mtu mmoja anaweza kuingia katika makundi zaidi ya moja?Anaoneka kuwa kundi la Enterprenuers
Inawezekana ukapata shida kujiweka kundi lipi katika category moja mfano category ya pili ukapata tabu kujijua ni advocate au mediatormkuu mtu mmoja anaweza kuingia katika makundi zaidi ya moja?
Interesting!!Unawezaje kuumudu u campaigner ukiwa wewe ni Introvet mkuu?Mkuu asante sana kwa elimu hii nzuri, mimi naangukia kwenye introvert, first category "Architects, lakini pia nina sifa nyingi za category hii ya campainers.
Angalia vizuri kitu muhimu cha kwanza pale juu ujijue je ni extrovet au introvet?mbona mie sijioni mweee
Karibu mkuuThanks alot bigii,!napendaga hzi madini!!