Aim global ni freemasons/illuminati?

Aim global ni freemasons/illuminati?

Rayns

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2023
Posts
5,139
Reaction score
9,553
Habari za wakati huu wana familia wa jukwaa hili,

Ningependa kuwashirikisha katika mada hii iliyo katika mfumo wa Swali,

Bila kupoteza muda, kichwa kinajieleza , kuna watu wengi sana wanauliza kuhusu kampuni ya aim global [Alliance In Motion Global] kama ni kampuni yenye uhusiano wa kifreemason au illuminati,au hata kwa lugha nyingine niseme [kujihusisha au kujiendesha kwa mfumo wa kishetani].

Mimi ni miongoni mwa watu walio escape baada ya kuona business hainikai, wao wanaita [ku-quit].

Yeap! Nili quit baada ya miezi miwili na..., Sasa kwa muda niliokaa kule niligundua kuwa miongoni mwa sababu zinazowapelekea watu ku-quit ni:

1.Gharama ya kujiunga.
2.Kuitwa au kushirikishwa kwa kutajiwa jina tofauti la kampuni na kazi tofauti[yaani unaambiwa taarifa fake kuhusu kampuni ili uhudhurie semina].
3.ugomvi baina yao kulingana na ugumu wa maisha [Maskini siku zote hawapatani].
4.Watu kuhofia kampuni hujihusisha na kuendesha shughuli zake kishetani[kifreemason].
5.Business hailipi kwa sababu ya ugumu wake kwani ili ufaidike ni lazima upate watu wa kuwashirikisha na watoe kiasi kikubwa cha pesa [kulingana na hali Duni ya kiuchumi hapa nchini].

Naam! Hizo ni baadhi ya sababu zinazowapelekea members wa aim global ku-quit, lakini pia zipo sababu nyingine nyingi.

Sasa hapo kwenye point [sababu] namba 4, na mimi naweza kusema pia ni sababu iliyopelekea niquit, japokuwa kuna sababu nyingine iliyonifanya Ku-Pass Ma-Clouds.

Lakini kitu ambacho kinanitia wasiwasi ni kwamba, ile kampuni wanasema ina kibali kutoka HALAL na KOSHA[Hizi naweza kusema ni taasisi zinazohusika na kuwasimamia waislamu (HALAL) na wakristo(KOSHA) mahala pa kazi. Hapo ndipo nilipochukulia maamuzi ya kuleta kwenu wanajukwaa ili mnisaidie katika hili.

#Swali: Je ni kweli kampuni ya Alliance In Motion Global [Aim Global] inahusiana na mambo ya kifreemason au illuminati?#

Pia hii itakuwa ni faida kwa wengine kwani hata ukisearch Google kuna numbers of people wameuliza kuhusu hiki kitu, lakini majibu hayapo ya kueleweka.

Na kumbukeni [lisemwalo lipo na kama halipo basi lita...]

Nawasilisha wakuu karibuni
1.#JF members
2.#Aim global member
3.#Others.

Karibu

ㄏRayn ㄏRayns

hqdefault.jpg
Aim-Global-Business-Opportunity.png
 
Habari za wakati huu wana familia wa jukwaa hili,

Ningependa kuwashirikisha katika mada hii iliyo katika mfumo wa Swali,

Bila kupoteza muda, kichwa kinajieleza , kuna watu wengi sana wanauliza kuhusu kampuni ya aim global [Alliance In Motion Global] kama ni kampuni yenye uhusiano wa kifreemason au illuminati,au hata kwa lugha nyingine niseme [kujihusisha au kujiendesha kwa mfumo wa kishetani] ,

Mimi ni miongoni mwa watu walio escape baada ya kuona business hainikai, wao wanaita [ku-quit].

Yeap! Nili quit baada ya miezi miwili na..., Sasa kwa muda niliokaa kule niligundua kuwa miongoni mwa sababu zinazowapelekea watu ku-quit ni:-
1.Gharama ya kujiunga.
2.Kuitwa au kushirikishwa kwa kutajiwa jina tofauti la kampuni na kazi tofauti[yaani unaambiwa taarifa fake kuhusu kampuni ili uhudhurie semina].
3.ugomvi baina yao kulingana na ugumu wa maisha [Maskini siku zote hawapatani].
4.Watu kuhofia kampuni hujihusisha na kuendesha shughuli zake kishetani[kifreemason].
5.Business hailipi kwa sababu ya ugumu wake kwani ili ufaidike ni lazima upate watu wa kuwashirikisha na watoe kiasi kikubwa cha pesa [kulingana na hali Duni ya kiuchumi hapa nchini].

Naam! Hizo ni baadhi ya sababu zinazowapelekea members wa aim global ku-quit, lakini pia zipo sababu nyingine nyingi.

Sasa hapo kwenye point [sababu] namba 4, na mimi naweza kusema pia ni sababu iliyopelekea niquit, japokuwa kuna sababu nyingine iliyonifanya Ku-Pass Ma-Clouds.

Lakini kitu ambacho kinanitia wasiwasi ni kwamba, ile kampuni wanasema ina kibali kutoka HALAL na KOSHA[Hizi naweza kusema ni taasisi zinazohusika na kuwasimamia waislamu (HALAL) na wakristo(KOSHA) mahala pa kazi. Hapo ndipo nilipochukulia maamuzi ya kuleta kwenu wanajukwaa ili mnisaidie katika hili.

#Swali: Je ni kweli kampuni ya Alliance In Motion Global [Aim Global] inahusiana na mambo ya kifreemason au illuminati?#

Pia hii itakuwa ni faida kwa wengine kwani hata ukisearch Google kuna numbers of people wameuliza kuhusu hiki kitu, lakini majibu hayapo ya kueleweka.

Na kumbukeni [lisemwalo lipo na kama halipo basi lita...]

Nawasilisha wakuu karibuni
1.#JF members
2.#Aim global member
3.#Others.

Karibu

ㄏRayn ㄏRayns

Wa Tanzania mnaibiwa kirahisi sana
 
Saa hivi wabongo wengi wamekuwa kifikra hawana mda wa kubishana fikra za kipumbavu. Sijui freemasons sijui illuminati..we Kama umetoka sema umetoka.. shetani unamjua wewe
 
Saa hivi wabongo wengi wamekuwa kifikra hawana mda wa kubishana fikra za kipumbavu. Sijui freemasons sijui illuminati..we Kama umetoka sema umetoka.. shetani unamjua w
Saa hivi wabongo wengi wamekuwa kifikra hawana mda wa kubishana fikra za kipumbavu. Sijui freemasons sijui illuminati..we Kama umetoka sema umetoka.. shetani unamjua wewe

Saa hivi wabongo wengi wamekuwa kifikra hawana mda wa kubishana fikra za kipumbavu. Sijui freemasons sijui illuminati..we Kama umetoka sema umetoka.. shetani unamjua wewe
Sawaa nimekuelewa
 
Back
Top Bottom