valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 868
Ndio michango ya watu, wala sikatai na najua hasa km si kila mchango utatufurahisha. Ndo mana nkasema sie wengine tuna uvumilivu, wenye hasira na wenye roho ndogo ndo hao walioamua kusepa.
Endelea ivo na moyo huo.
Na hao wengine wajifunze kwako.