issadeus269
Member
- Dec 2, 2018
- 24
- 4
Dakika ya ngap,,,
yanga 3 Na ruvu 2. mpira ndiyo umemalizikaDakika ya ngap,,,
Dunia haina huruma aisee ! hawa hawakustahili ushindi huu mkuuyanga 3 Na ruvu 2. mpira ndiyo umemalizika
sasa hii picha unaweka ya nini ?Mnyama bado anamaumivuView attachment 969805
Yanga Imara Mbele DaimaDunia haina huruma aisee ! hawa hawakustahili ushindi huu mkuu
Tunataka kuinyosha nchi mpaka kwenye sokaErythrocyte huku waachie wenyewe,unazidi ushabiki. Mwanahabari Huru ameleta habari,Salim Mwalimu yuko ndani.
Mikia bana waajabu sana jana wamefungwa wanashangilia lakini Leo Yanga anamfunga Ruvu wanachukia kweli Rage ajakosea alivyowaita lile jinaTunataka kuinyosha nchi mpaka kwenye soka
Anafanya maandalizi ya rufaa hapo baadaeKwahiyo tukusaidie nini?
Picha hiyo inaonesha msisitizo jinsi mnyama alivyo na maumivu makalisasa hii picha unaweka ya nini ?
Goli la yanga ni offside, ruvu wamenyimwa penalt mbili za wazi. Mbeleko fc