Aibu ya UVCCM kwa taifa

🀣🀣🀣🀣
 
Ingekua vyama pinzani hapo mpaka sasa ungekuta wamekamatwa hata wasiohusika na press imefanyika
 
Tazameni matendo ya hovyo kwenye chaguzi zinazo endelea ndani ya uvccm.

Hii ni aibu kubwa sana kwa taifa la watu waliostaarabika.

Takukuru fanyeni kazi yenu bila kuangaliana itikadi.View attachment 2421145
TAKOKURU ipi unaitaja?

CCM inaiba kura unategemea chaguzi zake za ndani zina weledi?
 
Serikali ya Tanzania mumetangaza Rushwa ni adui wa taifa lakini CCM wamekubali kuwa ni Halali wachukulueni hatua hawa mashetani ushahidi huu hapa
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…