Aibu stendi ya Msamvu Morogoro

Aibu stendi ya Msamvu Morogoro

Msamvu wameshindwa kujenga ile stend kwa miaka mingi na ushuru wanachukua
 
kila kitu muwekezaji tu,nenda wew ukajiwekeze

Mkuu umeongea kwa jazba......mi nilitoa wazo tu,uwezo wangu wa kufikiria umeishia hapo na wewe toa wazo mbadala ili tuisaidie jamii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom