Ahukumiwa kifo baada ya kujamba msikitini

Ahukumiwa kifo baada ya kujamba msikitini

wewe nimesha kuelewesha kwamba hiyo male na female ni mwandishi kaweka Tafsida ilaha kusudio haswa ni dhakar na ku...am..wee muhammad amekuelekeza uje kwetu tusomao View attachment 662567 kabla yenu ili tuwape yakin View attachment 662568 ukafir ndio unao kusukuma kuleta mbweraa


879a336601ab8dd6d97b0802aa59cda3.jpg
 
Biblia haiihitaji uthibitisho toka hii Menu ya ugaidi
Kwani aliejaribu kuthibitisha uchafu wa kina paolo nani? 😀 😀 😀 hujielewi kabisa. Wewe mwenyewe umeona umeleta hoja eti waislam wameambiwa wasome biblia, sijui mtume kaambiwa awaulize watu wa biblia.... Ulikuwa unajaribu kunionesha nini hasa?

Sasa nimekuomba uthibitisho wapi biblia imezungumzwa kwenye quran unaanza kulia lia 😀 😀 😀 muflis kabisa.... Nlikwambia zamani kama mbele ya muislam huna hoja.

maana nimekuomba hoja kwenye aya ulizoleta ukaufyata 😀 😀 hizi mambo ni za kitoto sana unazoleta. hizi kaa kanisani uwadanganye waumini wako wasiojua kitu kazi kuburuzwa tu. kisha waombe msaada na wewe ununue walau mark x kwanza au bado hujawa nabii? 😀

Halafu aya ulioiquote hapa ni nzuri sana, Allah ametuamrisha tuamini vitabu vyake alivoviteremsha, yaani Zabur,, Taurat, Injil na Quran, na mitume yake pia. na waislam tunaamini hayo aloteremsha Allah. Waislam hatuwezi kuamini biblia wakati tayari tushaona kuwa sio maneno ya Mungu 😀 😀 😀 ni matahira tundio wataamini uchafu unaitwa biblia wa mungu ana baba na mama

Yesu kafundisha kuwa hajaja kuleta amani bali amekuja kutembeza upanga tu. na biblia inatuhakikishia kuwa, ni maneno ya watu. ni kitabu cha hadithi tu. 😀
 
Ndugu yangu huyo kafiri tunamjua sisi we muulize Ally Kombo au Gavana au kahtaan

Huyo akili zimeharibika tokana na lile jarida lao (bibulia). Mungu gani kachezea makofi halafu akatundikwa msalabani kama shoga

Akhy Unaongea na kiumbe asiejua kwamba hajui.
unapoteza wakati wako muhimu sana.
Huyu Kafir sina wakati wa kupoteza kumuelimisha chochote. hiki ni kile kizazi yesu alikifananisha na nguruwe. utaweza kumkataza nguruwe kutokula mavi yake?

Huyu najsi wacha atukane mpk siku mauti yatakapomkuta halafu ataona yalioko huko mbele.
mimi na wewe wajibu wetu ni kutoa ukumbusho tu.
Khalas
 
Akhy Unaongea na kiumbe asiejua kwamba hajui.
unapoteza wakati wako muhimu sana.
Huyu Kafir sina wakati wa kupoteza kumuelimisha chochote. hiki ni kile kizazi yesu alikifananisha na nguruwe. utaweza kumkataza nguruwe kutokula mavi yake?

Huyu najsi wacha atukane mpk siku mauti yatakapomkuta halafu ataona yalioko huko mbele.
mimi na wewe wajibu wetu ni kutoa ukumbusho tu.
Khalas
Wasalaaam
 
Kwani aliejaribu kuthibitisha uchafu wa kina paolo nani? 😀 😀 😀 hujielewi kabisa. Wewe mwenyewe umeona umeleta hoja eti waislam wameambiwa wasome biblia, sijui mtume kaambiwa awaulize watu wa biblia.... Ulikuwa unajaribu kunionesha nini hasa?

Sasa nimekuomba uthibitisho wapi biblia imezungumzwa kwenye quran unaanza kulia lia 😀 😀 😀 muflis kabisa.... Nlikwambia zamani kama mbele ya muislam huna hoja.

maana nimekuomba hoja kwenye aya ulizoleta ukaufyata 😀 😀 hizi mambo ni za kitoto sana unazoleta. hizi kaa kanisani uwadanganye waumini wako wasiojua kitu kazi kuburuzwa tu. kisha waombe msaada na wewe ununue walau mark x kwanza au bado hujawa nabii? 😀

Halafu aya ulioiquote hapa ni nzuri sana, Allah ametuamrisha tuamini vitabu vyake alivoviteremsha, yaani Zabur,, Taurat, Injil na Quran, na mitume yake pia. na waislam tunaamini hayo aloteremsha Allah. Waislam hatuwezi kuamini biblia wakati tayari tushaona kuwa sio maneno ya Mungu 😀 😀 😀 ni matahira tundio wataamini uchafu unaitwa biblia wa mungu ana baba na mama

Yesu kafundisha kuwa hajaja kuleta amani bali amekuja kutembeza upanga tu. na biblia inatuhakikishia kuwa, ni maneno ya watu. ni kitabu cha hadithi tu. 😀

wala huna haja ya kwenda mbali akhy.
yeye anaetaka waislamu waikubali hio biblia muulize Yeye anaifuata?

Biblia inasema ktk Deutronomy
22:13-21 "Mwanamke alieolewa akakutwa sio Bikra na AULIWE KWA KUPIGWA MAWE"

[Sasa Muulize wanawake wangapi Wamesha uawa makanisani baada ya Mume kukuta sio bikra?
 
Hicho kijambo lazima kimenuka sana, najua kujamba sio vizuri lakini sheria za kidini ziangaliwe upya kwa sababu Mungu ni wa Rehema hata waislam wanajua hilo na kuhukumu kifo ni kukataa kwamba Mungu hasamehi na wala hana rehema zozote.
 
Hawa watu wanakoelekea wataanza kufunga na sehemu za chini kwa operatioin katika huo mwezi.

Hata elimu kidogo tu yakibinadamu ahawana kabisa, halafu eti watawale dunia!. Mauti .!!!!!!!!!

Dini imewakataza watu kula mchana hadharani. WAnakula kwa kuiba iba. Halafu imewaamuru wakeshe usiku wakila kama wachawi. Usiku kucha mtu anakula na hakuna kazi anafanya zaidi ya kukesha anakula ahdi alfajiri, hivi unategemea asijambe mchana kutwa? Mbona wa huku kila mahala wakikaa ni harufu za kujamba tu?

Sasa wamekulisha usiku kucha, halafu wanazuia mchana usijambe!. Huyu allah alitakiwa awasiliane na Mungu ili ajue uumbaji wa binadamu. allah hakuumba watu ndiyo sababu anaonekana kituko. Mambo ya allah hayo!
Tubu!
Jutia!

Ama sivyo basi na Ulaniwe!
 
Hawa watu wanakoelekea wataanza kufunga na sehemu za chini kwa operatioin katika huo mwezi.

Hata elimu kidogo tu yakibinadamu ahawana kabisa, halafu eti watawale dunia!. Mauti .!!!!!!!!!

!

wenye ELIMU tunawaona kaka.
wana sheherekea kuzaliwa kwa yesu kwa style.
nadhani serikali ingelazimisha wagalatia wote kuvaa Helmet wakati wa Christmas ingesaidia sana kupunguza foleni mahospitali.
ni ushauri tu.
 

Attachments

Huwezi kumlaani aliyebarikiwa. Mungu ameniambia hivi, "Nitamlaani yeye akulaniye na kumbariki yeye akubarikiye". Tafakari na uchukue hatua. Ubavu huo huna!


Tubu!
Jutia!

Ama sivyo basi na Ulaniwe!
 
wenye ELIMU tunawaona kaka.
wana sheherekea kuzaliwa kwa yesu kwa style.
nadhani serikali ingelazimisha wagalatia wote kuvaa Helmet wakati wa Christmas ingesaidia sana kupunguza foleni mahospitali.
ni ushauri tu.

Wale watoto 3,000 wa Kibiti umewaficha wapi?
 
H

Kwahiyo unaamini uislam ndio umeagiza hivyo? hii haina tofauti na askofu aliyeruhusu ndoa za jinsia moja halafu useme ukristo umeagiza hivyo
Kuna watu still hawajajua waislamu ni akina nani na Uislamu uko vipi

Hivi Kadiyani au Sufi nae utamhesabu miongoni mwa waislamu?
 
Back
Top Bottom