Tujisahihishe Tz
Platinum Member
- Nov 17, 2011
- 3,050
- 1,359
- Thread starter
- #21
Leta link mkuu
Ok nikifanikiwa iweke utapakua mkuu
Leta link mkuu
Kila siku watu walikuwa wakitafuta apps lock kwa ajili ya kuficha chats zao n.k!
Habari njema kwa watumiaji wa whatsapp+ sasa unaweza kuhide chat zako pia chat vonversation na mtu hasiwezs kuona kabisa pia inamwonekano mzuri balaa
Kwa wale ambao hamjawahi itumia na wale ambao hamjaupdate fanyeni hima uifurahi whatsapp+
Msaada kiongozi.. Mbona napo jaribu kuinstall whatsapp pluss inaniambia kuna app nyingine kama hiyo ilishakua installed.. Kama hii View attachment 243509
Du! Afadhali. Kumbe nisiwakorofishe kwa kuweka whatsapp+Mkuu wala ucogope..mm nna zaid ya mika 3 sas natumia whatsapp na cjawah lipia...kila mda unapoisha hua napat hii notification "Extended" kutok whatsapp..then nkichck mda uliobak nakuta 1 yr.
Msaada kiongozi.. Mbona napo jaribu kuinstall whatsapp pluss inaniambia kuna app nyingine kama hiyo ilishakua installed.. Kama hii View attachment 243509
usi overwrite mkuu ndo mana inakugomea
Sijakuelewa Jombaa
Hii nzur..itasaidia kuongeza privacy...mana kuna wengn akiomb cm yako cha kwanz ni kufungua whatsapp..
Nili backup cinservation,nika delete wasap messenger, nikaanza kuinstall ikagoma,kama hapo juu.