BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Shutuma za watu kupotea na dhalimu magufuli kuzuia uchaguzi unadhani kwanini aligomea uchunguzi huru? Wacha ujinga mpuuzi wewe!!!
Pole mnama hii ndio demokrasia Uhuru wa kujieleza unapaswa kutamalak hatupasw kuvunjiana heshima,hizo zinabak kuwa tuhuma kwa sabab hazijafikishwa mahala husika ili zifate utaratibu km sheria zinavyojipambanua mwishowe washutumiwa na washutumu wapate nafas ya kusikilizwa ili hukumu ipatikane na hiz shutuma zipo nyingi tu hata mbowe aliambiwa kala pesa za makato ya wabunge chama anakifanya km Sacco's na mengineyo mengi tu yatabak kuwa ni shutma haupasw kupanik Mnama.