KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,150
Afghanistan President Ahmed Karzai slaps US in the face,he said we are beside pakistan if US attacks......hii imekuja siku mbili baada ya Obama kutangaza kuyaondoa majeshi ya marekani huko Iraq huku kukiwa na taarifa ya kutoelewana kati ya Washington na Baghdad huku Baghdad ikionekana kuelemea zaidi upande wa adui namba moja wa us - IRAN, hali inayoelezwa imechangia kwa kiasi kikubwa kuchukuliwa kwa maamuzi hayo magumu na rais obama...kulikoni us foreign policy waliokuwa marafiki wa us sasa wanaonekana kumtupa mkono GODFATHER Wao??????