Ahadi ya zahanati za Dr. Magufuli, ukweli huu hapa...

Tangopori

JF-Expert Member
May 11, 2012
1,629
1,282
Inabidi atueleze hizi fedha atazipata wapi ndani ya miaka mitano na bado barabara zijengwe, watumishi walipwe mishahara, kila kijiji kipate 50M e.t.c
Au ndo atakimbilia kwa wafadhili akiondoka deni la taifa liwe limefikia 200Trillion?
Sawa na baba wa familia ajivunie kuijengea familia nyumba ya 100M huku amewaacha na deni la 100M

================================

Zahanati kila kijiji: Sh. trilioni 24.96, Kituo cha afya kila kata:, Sh. trilioni 19.7 Jumla makadirio: Sh. trilioni 44, Ni 44% ya bajeti ya serikali ya miaka mitano. Ahadi: Zahanati kila kijiji, kituo cha afya kila kata, hospitali kila wilaya pamoja na hospitali ya Rufaa kwa kila mkoa.

Ni wakati wa kampeni na ni wakati wa kila mgombea kutoa ahadi kwa wapigakura kuhusu mambo atakayoyapa kipaumbele katika miaka mitano endapo atapata ridhaa ya wananchi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, katika mikutano yake ya kampeni, ameahidi kujenga zahanati katika kila kijiji nchini, kituo cha afya katika kila kata, hospitali kila wilaya na hospitali ya rufaa kila mkoa, endapo atapata ridhaa ya kuwa rais wa awamu ya tano, ili kuboresha huduma za afya nchini.

Gazeti hili limetafuta gharama ya kutekeleza ahadi hii kubwa kabisa kuwahi kutolewa na mgombea urais tangu kuanza mfumo wa vyama vingi nchini.

Katika kutafuta na kuchambua uhalisia wa ahadi hii, gazeti hili limepata taarifa za Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii zinazoonyesha kwamba gharama za kujenga zahanati moja ya kijiji ni takribani Sh. bilioni 1.3 hadi kukamilika kwake.

Aidha, ujenzi wa kituo cha afya ambacho majengo yake yana sifa zinazostahili, unakadiriwa kugharimu Sh. bilioni 5.5 hadi kukamilika kwake.

Kwa upande wa ujenzi wa hospitali yenye hadhi ya wilaya, ujenzi wake unakadiriwa kugharimu kiasi cha Sh. bilioni 30 ili majengo yake yakamilike na kutumiwa kwa shughuli za kutoa huduma za afya.

Makisio ya Wizara ya Afya ambayo Nipashe iliyapata, ujenzi wa hospitali ya mkoa wowote hapa nchini, unakadiriwa kutumia Sh. bilioni 50 na hospiatli moja ya rufaa inagharimu Sh. bilioni 80.

Kwa mujibu wa Kitengo cha Uhandisi katika wizara hiyo, gharama hizo ni makisio na zinaweza kupungua au kuongezeka kwa asilimia tano kutegemea eneo na ushindani wa manunuzi husika.

Makadirio ya gharama
Gazeti hili limejikita tu katika ahadi kuu mbili, ujenzi wa zahanati kila kijiji na ujenzi wa kituo cha afya kila kata, nchi nzima, kama alivyoahidi Dk. Magufuli katika kampeni zake.

Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Tanzania ina vijiji 19,200. Kwa sababu hiyo, Ili kuvijengea zahanati kwa kila kimoja, zitahitajika Sh. trilioni 24.960, sawa na Dola za Marekani bilioni 12.48, endapo mradi huu utatekekezwa katika kipindi cha miaka mitano.

Kwa kuwa haya ni makadirio tu, gharama hizi zinaweza kupungua au kupaa zaidi katika kipindi hicho kulingana na mfumuko wa bei au thamani ya Sarafu ya Tanzania dhidi ya Dola ya Marekani.

Gazeti hili limekadiria thamani ya Shilingi kwa Dola ya Marekani kuwa ni Sh. 2,000, japo mpaka sasa thamani halisi katika soko ni zaidi ya kiwango hicho. Hii ina maana kwamba zahanati moja itagharimu Dola za Marekani 650,000(Sh. bilioni 1.3) na hivyo basi kwa vijiji 19,200, jumla itakuwa Dola za Marekani bilioni 12.48(Sh. trilioni 24.960).

Hii ni sawa na wastani wa Sh. trilioni 4.992 sawa na dola za Marekani bilioni 2.496 kwa mwaka endapo mradi huu utatekelezwa katika kipindi cha miaka mitano ya awamu ya tano ya Dk. Magufuli. Idadi hii inaweza kupungua kidogo kutokana na ukweli kwamba baadhi ya vijiji tayari vina zahanati, japo kwa uchache ukizingatia hali ya huduma za afya nchini.

Kiasi hiki cha fedha kwa mwaka ni sawa na asilimia 22 ya bajeti yote ya serikali iliyowasilishwa bungeni katika mwaka wa fedha wa 2015/16.

Katika mwaka wa fedha wa 2015/16 Serikali imepanga kutumia kiasi cha Sh. trilioni 22.495.

Fedha zitakazohitajika kwa mwaka kujenga zahanati tu kwa kila kijiji ni mara sita ya bajeti ya Wizara ya Afya ya mwaka 2015/16.

Katika mwaka wa fedha wa 2015/16, Serikali ilitenga kiasi cha Sh. bilioni 813.976 (sawa na Dola za Marekani milioni 400) kwa ajili ya bajeti yote ya Wizara ya Afya.

Kituo cha afya kila kata
Kwa mujibu wa Tamisemi, idadi ya kata zote nchini ni 3,802. Kwa sababu hiyo, ili kujenga kituo cha kisasa cha afya kwa kila kata, Dk. Magufuli atahitaji kiasi cha Sh. trilioni 19 (Dola za Marekani bilioni 9.505) katika miaka mitano endapo serikali yake itatekeleza mpango huu kabambe.

Kwa mujibu wa makadirio kutoka Wizara ya Afya, kujenga kituo cha afya cha kisasa kinachoweza kuhudumia kata, gharama yake ni wastani wa Sh. bilioni tano (Dola za Marekani milioni 2.5.)

Hii gharama ni sawa na wastani wa Sh. trilioni 3.802 kwa mwaka katika miaka mitano ya kwanza ya utekelezaji wa mradi huu.

Jumla ya fedha inayotakiwa katika kujenga zahanati kila kijiji na kituo cha afya kila kata inakadiriwa kuwa Sh. trilioni 43.960 (Dola za Marekani bilioni 21.985) kwa miaka mitano (sawa na asilimia 40 ya bajeti ya serikali ya miaka mitano) kwa kutumia kipimo cha bajeti ya mwaka 2015/16.

Ikumbukwe kwamba bajeti ya serikali hupanda kila mwaka kulingana na mahitaji halisi ya kiuchumi na matumizi ya serikali.

Gazeti hili limejikita tu katika ahadi kuu mbili, ujenzi wa zahanati kila kijiji na ujenzi wa kituo cha afya kila kata, nchi nzima, kama alivyoahidi Dk. Magufuli katika kampeni zake
.


CHANZO: NIPASHE
 
Watanzania acheni kuwa na uelewa mdogo.
Nchi hii ina utajiri mkubwa sana lakini wanafaidika wachache.
Analosema makufuli linawezekana 100% na bado chenji itabaki nyingi sana.
Ukawa oyeeeee
Piiipooooozzz
 
Watanzania acheni kuwa na uelewa mdogo.
Nchi hii ina utajiri mkubwa sana lakini wanafaidika wachache.
Analosema makufuli linawezekana 100% na bado chenji itabaki nyingi sana.
Ukawa oyeeeee
Piiipooooozzz
Nasema chini ya uongozi wa ccm hili haliwezekani kamwe. Pesa nyingi inakusanywa na kuishia mifukoni mwa wajanja.
 
Inabidi atueleze hizi fedha atazipata wapi ndani ya miaka mitano na bado barabara zijengwe, watumishi walipwe mishahara, kila kijiji kipate 50M e.t.c
Au ndo atakimbilia kwa wafadhili akiondoka deni la taifa liwe limefikia 200Trillion?
Sawa na baba wa familia ajivunie kuijengea familia nyumba ya 100M huku amewaacha na deni la 100M

Fedha ziko nyingi tu ni swala la kutuma TRA Migodini, Vodacom, Bandarini ambako fisadi Lowasa na Genge wanamiliki makampuni ambayo yamekuwa yakikwepa kulipa kodi!
 
Ndugu zangu wapendwa wa TANZANIA,kwa hekima na taadhima,naomba tuangalie ahadi alizoahidi Dr.Jakaya Mrisho Kikwete mwaka 2010 - 2015,..Je alitekeleza? Na pia tuangalie ahadi anazotoa John Pombe Magufuli wa CCM ile ile katika kuusaka URAIS wa TANZANIA!! Ahadi za JK kwenye kampeni za kusaka Urais 2010 ni.....
1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa-Nzega, Tabora (HAJATEKELEZA)
2. Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda- Tanga mjini (HAJATEKELEZA)
3. Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria- Igunga (HAJATEKELEZA)
4. Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU)- Shinyanga (HAJATEKELEZA)
5. Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini- Dodoma (HAJATEKELEZA)
6. Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono-Dodoma mjini (HAJATEKELEZA)
7. Kuwapatia trekta wakulima -Kata ya Mrijo, Dodoma (HAJATEKELEZA)
8. Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi-Kagera (HAJATEKELEZA)
9. Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi- Kagera (HAJATEKELEZA)
10. Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba- Bukoba Mjini (HAJATEKELEZA)
11. Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini (HAJATEKELEZA)
12. Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda- Kagera (HAJATEKELEZA)
13. Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme- Kagera (HAJATEKELEZA)
14. Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu- Kagera (HAINA MENO)
15. Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino- Mbeya (MAUAJI YANAENDELEA)
16. Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba- Kagera (HAJATEKELEZA NA ZILIZOPO MBOVU HAZIFAI)
17. Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali (HAJATEKELEZA)
18. Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika- Mwanza (HAJATEKELEZA)
19. Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu-Mwanza (HAJATEKELEZA)
20. Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani- Geita
21. Kulinda muungano kwa nguvu zote- Pemba (KERO HAZIJATATULIWA)
22. Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa-Morogoro (HAJATEKELEZA)
23. Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa- Mbeya mjini (HAJATEKELEZA)
24. Kujenga bandari Kasanga –Rukwa (HAJATEKELEZA)
25. Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea (HAJATEKELEZA NA WALIMU WAMEPUUZWA WANAULIZA -SHEMEJI UNATUACHAJE?)
26. Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira -Mbeya (HAJATEKELEZA)
27. Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama- Tanga (HAJATEKELEZA)
28. Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini- Iringa (HAJATEKELEZA)
29. Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani –Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam- Same mkoani Kilimanjaro (HAJATEKELEZA)
30. Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same-Same Mjini (HAJATEKELEZA)
31. Kuboresha barabara za Igunga -Tabora (HAJATEKELEZA)
32. Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu- Kisesa Magu (AMETEKELEZA)
33. Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya- Mbeya Mjini (HAJATEKELEZA)
34. Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN)- Hydom Manyara (HAJATEKELEZA)
35. Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa-Musoma (HAJATEKELEZA CCM NDIO CHANZO CHA CHOKOCHOKO)
36. Kulinda haki za walemavu- Makete (HAJATEKELEZA,WANATUMIKA KWENYE KAMPENI TU)
37. Kujenga baabara ya Njombe- Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109- Iringa mjini (HAJATEKELEZA)
38. Kujenga barabara Musoma–Mto wa Mbu Arusha-Arusha (HAJATEKELEZA)
39. Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini (HAJATEKELEZA)
40. Kujenga barabara ya lami Manyoni- Kigoma– Kaliua,Tabora (HAJATEKELEZA)
41. Kukarabati barabara ya Arusha Moshi- Arusha Mjini
42. Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa,mpaka Singida-Dodoma (HAJATEKELEZA)
43. Kuwafidia wanakijiji ng'ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009- Longido (HAJATEKELEZA)
44.Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria-Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga (HAJATEKELEZA)
45. Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha – Arusha mjini (HAJATEKELEZA NCHI IPO GIZANI)
46. Kukopesha wavuvi zana za kilimo- Busekera, Wilaya ya Musoma, . (HAJATEKELEZA)
47. Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido- Longido (HAJATEKELEZA)
48. Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti – Ngorongoro (HAJATEKELEZA)
49. Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri- Mbulu mkoani Manyara (HAJATEKELEZA)
50. Kusambaza maji nchi nzima-Babati vijijini (HAJATEKELEZA)
51. Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015-Babati vijijini Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha.-Iringa (HAJATEKELEZA NA HALI NI MBAYA SANA)
52. Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika- Iringa
53. Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania- Iringa (HAJATEKELEZA)
54. Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi-Ifunda (HAJATEKELEZA - CHOKOCHOKO ZA CCM ZINAHATARISHA AMANI)
55. kutokomeza malaria 2015-Bunda,mkoa wa Mara (HAJATEKELEZA)
56. kuwapa wanawake nafasi zaidi- Kilolo ,Iringa (ANGALAU)
57. Ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii-Kibandamaiti Mjini Zanzibar (HAJATEKELEZA)
58. Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa- Kabandamaiti mjini Zanzibar (HAJATEKELEZA)
59. Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada-Kibandamaiti (HAJATEKELEZA)
60. Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay-Ruvuma (HAJATEKELEZA)
61. Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400-Mbambabay Ruvuma (HAJATEKELEZA)
62. kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga(MBICU) –Ruvuma (HAJATEKELEZA)
61. Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania –Ruvuma (MISAADA YA VYANDARUA NA VYOO KWA MSAADA WA WATU WA MAREKANI)
62. Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam (HAJATEKELEZA)
63. Mtwara kuwa mji wa Viwanda –Mtwara (HAJATEKELEZA)
64. Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu-Kibaha (HAJATEKELEZA)
65. Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa- Kibaha. (HAJATEKELEZA)
66.Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda -Kibaha (HAJATEKELEZA) N.K
CCM HAIAMINIKI TENA,WAKATI UMEFIKA CCM INAPASWA ITOLEWE KWA NJIA YA KURA MADARAKANI?..KWA NINI WASITEKELEZE AHADI HIZI KABLA YA KUAHIDI ZINGINE?....CHAGUA LOWASSA..CHAGUA UKAWA (CHADEMA/CUF/NLD/NCCR MAGEUZI)
 
Ndugu zangu wapendwa wa TANZANIA,kwa hekima na taadhima,naomba tuangalie ahadi alizoahidi Dr.Jakaya Mrisho Kikwete mwaka 2010 - 2015,..Je alitekeleza? Na pia tuangalie ahadi anazotoa John Pombe Magufuli wa CCM ile ile katika kuusaka URAIS wa TANZANIA!! Ahadi za JK kwenye kampeni za kusaka Urais 2010 ni.....
1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa-Nzega, Tabora (HAJATEKELEZA)
2. Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda- Tanga mjini (HAJATEKELEZA)
3. Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria- Igunga (HAJATEKELEZA)
4. Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU)- Shinyanga (HAJATEKELEZA)
5. Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini- Dodoma (HAJATEKELEZA)
6. Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono-Dodoma mjini (HAJATEKELEZA)
7. Kuwapatia trekta wakulima -Kata ya Mrijo, Dodoma (HAJATEKELEZA)
8. Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi-Kagera (HAJATEKELEZA)
9. Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi- Kagera (HAJATEKELEZA)
10. Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba- Bukoba Mjini (HAJATEKELEZA)
11. Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini (HAJATEKELEZA)
12. Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda- Kagera (HAJATEKELEZA)
13. Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme- Kagera (HAJATEKELEZA)
14. Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu- Kagera (HAINA MENO)
15. Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino- Mbeya (MAUAJI YANAENDELEA)
16. Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba- Kagera (HAJATEKELEZA NA ZILIZOPO MBOVU HAZIFAI)
17. Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali (HAJATEKELEZA)
18. Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika- Mwanza (HAJATEKELEZA)
19. Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu-Mwanza (HAJATEKELEZA)
20. Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani- Geita
21. Kulinda muungano kwa nguvu zote- Pemba (KERO HAZIJATATULIWA)
22. Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa-Morogoro (HAJATEKELEZA)
23. Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa- Mbeya mjini (HAJATEKELEZA)
24. Kujenga bandari Kasanga –Rukwa (HAJATEKELEZA)
25. Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea (HAJATEKELEZA NA WALIMU WAMEPUUZWA WANAULIZA -SHEMEJI UNATUACHAJE?)
26. Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira -Mbeya (HAJATEKELEZA)
27. Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama- Tanga (HAJATEKELEZA)
28. Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini- Iringa (HAJATEKELEZA)
29. Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani –Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam- Same mkoani Kilimanjaro (HAJATEKELEZA)
30. Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same-Same Mjini (HAJATEKELEZA)
31. Kuboresha barabara za Igunga -Tabora (HAJATEKELEZA)
32. Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu- Kisesa Magu (AMETEKELEZA)
33. Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya- Mbeya Mjini (HAJATEKELEZA)
34. Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN)- Hydom Manyara (HAJATEKELEZA)
35. Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa-Musoma (HAJATEKELEZA CCM NDIO CHANZO CHA CHOKOCHOKO)
36. Kulinda haki za walemavu- Makete (HAJATEKELEZA,WANATUMIKA KWENYE KAMPENI TU)
37. Kujenga baabara ya Njombe- Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109- Iringa mjini (HAJATEKELEZA)
38. Kujenga barabara Musoma–Mto wa Mbu Arusha-Arusha (HAJATEKELEZA)
39. Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini (HAJATEKELEZA)
40. Kujenga barabara ya lami Manyoni- Kigoma– Kaliua,Tabora (HAJATEKELEZA)
41. Kukarabati barabara ya Arusha Moshi- Arusha Mjini
42. Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa,mpaka Singida-Dodoma (HAJATEKELEZA)
43. Kuwafidia wanakijiji ng’ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009- Longido (HAJATEKELEZA)
44.Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria-Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga (HAJATEKELEZA)
45. Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha – Arusha mjini (HAJATEKELEZA NCHI IPO GIZANI)
46. Kukopesha wavuvi zana za kilimo- Busekera, Wilaya ya Musoma, . (HAJATEKELEZA)
47. Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido- Longido (HAJATEKELEZA)
48. Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti – Ngorongoro (HAJATEKELEZA)
49. Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri- Mbulu mkoani Manyara (HAJATEKELEZA)
50. Kusambaza maji nchi nzima-Babati vijijini (HAJATEKELEZA)
51. Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015-Babati vijijini Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha.-Iringa (HAJATEKELEZA NA HALI NI MBAYA SANA)
52. Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika- Iringa
53. Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania- Iringa (HAJATEKELEZA)
54. Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi-Ifunda (HAJATEKELEZA - CHOKOCHOKO ZA CCM ZINAHATARISHA AMANI)
55. kutokomeza malaria 2015-Bunda,mkoa wa Mara (HAJATEKELEZA)
56. kuwapa wanawake nafasi zaidi- Kilolo ,Iringa (ANGALAU)
57. Ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii-Kibandamaiti Mjini Zanzibar (HAJATEKELEZA)
58. Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa- Kabandamaiti mjini Zanzibar (HAJATEKELEZA)
59. Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada-Kibandamaiti (HAJATEKELEZA)
60. Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay-Ruvuma (HAJATEKELEZA)
61. Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400-Mbambabay Ruvuma (HAJATEKELEZA)
62. kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga(MBICU) –Ruvuma (HAJATEKELEZA)
61. Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania –Ruvuma (MISAADA YA VYANDARUA NA VYOO KWA MSAADA WA WATU WA MAREKANI)
62. Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam (HAJATEKELEZA)
63. Mtwara kuwa mji wa Viwanda –Mtwara (HAJATEKELEZA)
64. Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu-Kibaha (HAJATEKELEZA)
65. Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa- Kibaha. (HAJATEKELEZA)
66.Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda -Kibaha (HAJATEKELEZA) N.K
CCM HAIAMINIKI TENA,WAKATI UMEFIKA CCM INAPASWA ITOLEWE KWA NJIA YA KURA MADARAKANI?..KWA NINI WASITEKELEZE AHADI HIZI KABLA YA KUAHIDI ZINGINE?....CHAGUA LOWASSA..CHAGUA UKAWA (CHADEMA/CUF/NLD/NCCR MAGEUZI)
 
Zahanati kila kijiji: Sh. trilioni 24.96, Kituo cha afya kila kata:, Sh. trilioni 19.7 Jumla makadirio: Sh. trilioni 44, Ni 44% ya bajeti ya serikali ya miaka mitano. Ahadi: Zahanati kila kijiji, kituo cha afya kila kata, hospitali kila wilaya pamoja na hospitali ya Rufaa kwa kila mkoa.

Ni wakati wa kampeni na ni wakati wa kila mgombea kutoa ahadi kwa wapigakura kuhusu mambo atakayoyapa kipaumbele katika miaka mitano endapo atapata ridhaa ya wananchi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, katika mikutano yake ya kampeni, ameahidi kujenga zahanati katika kila kijiji nchini, kituo cha afya katika kila kata, hospitali kila wilaya na hospitali ya rufaa kila mkoa, endapo atapata ridhaa ya kuwa rais wa awamu ya tano, ili kuboresha huduma za afya nchini.

Gazeti hili limetafuta gharama ya kutekeleza ahadi hii kubwa kabisa kuwahi kutolewa na mgombea urais tangu kuanza mfumo wa vyama vingi nchini.

Katika kutafuta na kuchambua uhalisia wa ahadi hii, gazeti hili limepata taarifa za Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii zinazoonyesha kwamba gharama za kujenga zahanati moja ya kijiji ni takribani Sh. bilioni 1.3 hadi kukamilika kwake.

Aidha, ujenzi wa kituo cha afya ambacho majengo yake yana sifa zinazostahili, unakadiriwa kugharimu Sh. bilioni 5.5 hadi kukamilika kwake.

Kwa upande wa ujenzi wa hospitali yenye hadhi ya wilaya, ujenzi wake unakadiriwa kugharimu kiasi cha Sh. bilioni 30 ili majengo yake yakamilike na kutumiwa kwa shughuli za kutoa huduma za afya.

Makisio ya Wizara ya Afya ambayo Nipashe iliyapata, ujenzi wa hospitali ya mkoa wowote hapa nchini, unakadiriwa kutumia Sh. bilioni 50 na hospiatli moja ya rufaa inagharimu Sh. bilioni 80.

Kwa mujibu wa Kitengo cha Uhandisi katika wizara hiyo, gharama hizo ni makisio na zinaweza kupungua au kuongezeka kwa asilimia tano kutegemea eneo na ushindani wa manunuzi husika.

Makadirio ya gharama
Gazeti hili limejikita tu katika ahadi kuu mbili, ujenzi wa zahanati kila kijiji na ujenzi wa kituo cha afya kila kata, nchi nzima, kama alivyoahidi Dk. Magufuli katika kampeni zake.

Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Tanzania ina vijiji 19,200. Kwa sababu hiyo, Ili kuvijengea zahanati kwa kila kimoja, zitahitajika Sh. trilioni 24.960, sawa na Dola za Marekani bilioni 12.48, endapo mradi huu utatekekezwa katika kipindi cha miaka mitano.

Kwa kuwa haya ni makadirio tu, gharama hizi zinaweza kupungua au kupaa zaidi katika kipindi hicho kulingana na mfumuko wa bei au thamani ya Sarafu ya Tanzania dhidi ya Dola ya Marekani.

Gazeti hili limekadiria thamani ya Shilingi kwa Dola ya Marekani kuwa ni Sh. 2,000, japo mpaka sasa thamani halisi katika soko ni zaidi ya kiwango hicho. Hii ina maana kwamba zahanati moja itagharimu Dola za Marekani 650,000(Sh. bilioni 1.3) na hivyo basi kwa vijiji 19,200, jumla itakuwa Dola za Marekani bilioni 12.48(Sh. trilioni 24.960).

Hii ni sawa na wastani wa Sh. trilioni 4.992 sawa na dola za Marekani bilioni 2.496 kwa mwaka endapo mradi huu utatekelezwa katika kipindi cha miaka mitano ya awamu ya tano ya Dk. Magufuli. Idadi hii inaweza kupungua kidogo kutokana na ukweli kwamba baadhi ya vijiji tayari vina zahanati, japo kwa uchache ukizingatia hali ya huduma za afya nchini.

Kiasi hiki cha fedha kwa mwaka ni sawa na asilimia 22 ya bajeti yote ya serikali iliyowasilishwa bungeni katika mwaka wa fedha wa 2015/16.

Katika mwaka wa fedha wa 2015/16 Serikali imepanga kutumia kiasi cha Sh. trilioni 22.495.

Fedha zitakazohitajika kwa mwaka kujenga zahanati tu kwa kila kijiji ni mara sita ya bajeti ya Wizara ya Afya ya mwaka 2015/16.

Katika mwaka wa fedha wa 2015/16, Serikali ilitenga kiasi cha Sh. bilioni 813.976 (sawa na Dola za Marekani milioni 400) kwa ajili ya bajeti yote ya Wizara ya Afya.

Kituo cha afya kila kata
Kwa mujibu wa Tamisemi, idadi ya kata zote nchini ni 3,802. Kwa sababu hiyo, ili kujenga kituo cha kisasa cha afya kwa kila kata, Dk. Magufuli atahitaji kiasi cha Sh. trilioni 19 (Dola za Marekani bilioni 9.505) katika miaka mitano endapo serikali yake itatekeleza mpango huu kabambe.

Kwa mujibu wa makadirio kutoka Wizara ya Afya, kujenga kituo cha afya cha kisasa kinachoweza kuhudumia kata, gharama yake ni wastani wa Sh. bilioni tano (Dola za Marekani milioni 2.5.)

Hii gharama ni sawa na wastani wa Sh. trilioni 3.802 kwa mwaka katika miaka mitano ya kwanza ya utekelezaji wa mradi huu.

Jumla ya fedha inayotakiwa katika kujenga zahanati kila kijiji na kituo cha afya kila kata inakadiriwa kuwa Sh. trilioni 43.960 (Dola za Marekani bilioni 21.985) kwa miaka mitano (sawa na asilimia 40 ya bajeti ya serikali ya miaka mitano) kwa kutumia kipimo cha bajeti ya mwaka 2015/16.

Ikumbukwe kwamba bajeti ya serikali hupanda kila mwaka kulingana na mahitaji halisi ya kiuchumi na matumizi ya serikali.

Gazeti hili limejikita tu katika ahadi kuu mbili, ujenzi wa zahanati kila kijiji na ujenzi wa kituo cha afya kila kata, nchi nzima, kama alivyoahidi Dk. Magufuli katika kampeni zake.

CHANZO: NIPASHE
 
Kumbuka ahadi za JK zilitokana na ilani ya uchaguzi ya CCM, hazijatekelezwa.! Magufuli naye anayoa za kwake kwa ilani ya chama kilekile, CCM. Na wakati alipoteuliwa kuwa mgombea wa CCM, Magufuli alisema anasubiri ILANI ya chama ili kueleza ataifanyia nini Tanzania.
Ni kukosa uelewa kuzidi kuamini ahadi za CCM, haijalishi nani kazitoa. MWAKA HUU HADANGANYIKI MTU, kura kwa UKAWA NA LOWASSA..!
 
[h=2]Zahanati kila kijiji: Sh. trilioni 24.96, Kituo cha afya kila kata:, Sh. trilioni 19.7 Jumla makadirio: Sh. trilioni 44, Ni 44% ya bajeti ya serikali ya miaka mitano. Ahadi: Zahanati kila kijiji, kituo cha afya kila kata, hospitali kila wilaya pamoja na hospitali ya Rufaa kwa kila mkoa.[/h]







Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, katika mikutano yake ya kampeni, ameahidi kujenga zahanati katika kila kijiji nchini, kituo cha afya katika kila kata, hospitali kila wilaya na hospitali ya rufaa kila mkoa, endapo atapata ridhaa ya kuwa rais wa awamu ya tano, ili kuboresha huduma za afya nchini.

Gazeti hili limetafuta gharama ya kutekeleza ahadi hii kubwa kabisa kuwahi kutolewa na mgombea urais tangu kuanza mfumo wa vyama vingi nchini.

Katika kutafuta na kuchambua uhalisia wa ahadi hii, gazeti hili limepata taarifa za Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii zinazoonyesha kwamba gharama za kujenga zahanati moja ya kijiji ni takribani Sh. bilioni 1.3 hadi kukamilika kwake.

Aidha, ujenzi wa kituo cha afya ambacho majengo yake yana sifa zinazostahili, unakadiriwa kugharimu Sh. bilioni 5.5 hadi kukamilika kwake.

Kwa upande wa ujenzi wa hospitali yenye hadhi ya wilaya, ujenzi wake unakadiriwa kugharimu kiasi cha Sh. bilioni 30 ili majengo yake yakamilike na kutumiwa kwa shughuli za kutoa huduma za afya.

Makisio ya Wizara ya Afya ambayo Nipashe iliyapata, ujenzi wa hospitali ya mkoa wowote hapa nchini, unakadiriwa kutumia Sh. bilioni 50 na hospiatli moja ya rufaa inagharimu Sh. bilioni 80.

Kwa mujibu wa Kitengo cha Uhandisi katika wizara hiyo, gharama hizo ni makisio na zinaweza kupungua au kuongezeka kwa asilimia tano kutegemea eneo na ushindani wa manunuzi husika.

Makadirio ya gharama
Gazeti hili limejikita tu katika ahadi kuu mbili, ujenzi wa zahanati kila kijiji na ujenzi wa kituo cha afya kila kata, nchi nzima, kama alivyoahidi Dk. Magufuli katika kampeni zake.

Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Tanzania ina vijiji 19,200. Kwa sababu hiyo, Ili kuvijengea zahanati kwa kila kimoja, zitahitajika Sh. trilioni 24.960, sawa na Dola za Marekani bilioni 12.48, endapo mradi huu utatekekezwa katika kipindi cha miaka mitano.

Kwa kuwa haya ni makadirio tu, gharama hizi zinaweza kupungua au kupaa zaidi katika kipindi hicho kulingana na mfumuko wa bei au thamani ya Sarafu ya Tanzania dhidi ya Dola ya Marekani.

Gazeti hili limekadiria thamani ya Shilingi kwa Dola ya Marekani kuwa ni Sh. 2,000, japo mpaka sasa thamani halisi katika soko ni zaidi ya kiwango hicho. Hii ina maana kwamba zahanati moja itagharimu Dola za Marekani 650,000(Sh. bilioni 1.3) na hivyo basi kwa vijiji 19,200, jumla itakuwa Dola za Marekani bilioni 12.48(Sh. trilioni 24.960). Hii ni sawa na wastani wa Sh. trilioni 4.992 sawa na dola za Marekani bilioni 2.496 kwa mwaka endapo mradi huu utatekelezwa katika kipindi cha miaka mitano ya awamu ya tano ya Dk. Magufuli. Idadi hii inaweza kupungua kidogo kutokana na ukweli kwamba baadhi ya vijiji tayari vina zahanati, japo kwa uchache ukizingatia hali ya huduma za afya nchini.

Kiasi hiki cha fedha kwa mwaka ni sawa na asilimia 22 ya bajeti yote ya serikali iliyowasilishwa bungeni katika mwaka wa fedha wa 2015/16.

Katika mwaka wa fedha wa 2015/16 Serikali imepanga kutumia kiasi cha Sh. trilioni 22.495.
Fedha zitakazohitajika kwa mwaka kujenga zahanati tu kwa kila kijiji ni mara sita ya bajeti ya Wizara ya Afya ya mwaka 2015/16.

Katika mwaka wa fedha wa 2015/16, Serikali ilitenga kiasi cha Sh. bilioni 813.976 (sawa na Dola za Marekani milioni 400) kwa ajili ya bajeti yote ya Wizara ya Afya.

Kituo cha afya kila kata
Kwa mujibu wa Tamisemi, idadi ya kata zote nchini ni 3,802. Kwa sababu hiyo, ili kujenga kituo cha kisasa cha afya kwa kila kata, Dk. Magufuli atahitaji kiasi cha Sh. trilioni 19 (Dola za Marekani bilioni 9.505) katika miaka mitano endapo serikali yake itatekeleza mpango huu kabambe.

Kwa mujibu wa makadirio kutoka Wizara ya Afya, kujenga kituo cha afya cha kisasa kinachoweza kuhudumia kata, gharama yake ni wastani wa Sh. bilioni tano (Dola za Marekani milioni 2.5.)

Hii gharama ni sawa na wastani wa Sh. trilioni 3.802 kwa mwaka katika miaka mitano ya kwanza ya utekelezaji wa mradi huu.

Jumla ya fedha inayotakiwa katika kujenga zahanati kila kijiji na kituo cha afya kila kata inakadiriwa kuwa Sh. trilioni 43.960 (Dola za Marekani bilioni 21.985) kwa miaka mitano (sawa na asilimia 40 ya bajeti ya serikali ya miaka mitano) kwa kutumia kipimo cha bajeti ya mwaka 2015/16.

Ikumbukwe kwamba bajeti ya serikali hupanda kila mwaka kulingana na mahitaji halisi ya kiuchumi na matumizi ya serikali.

Gazeti hili limejikita tu katika ahadi kuu mbili, ujenzi wa zahanati kila kijiji na ujenzi wa kituo cha afya kila kata, nchi nzima, kama alivyoahidi Dk. Magufuli katika kampeni zake.




CHANZO: NIPASHE
 
[h=2]Zahanati kila kijiji: Sh. trilioni 24.96, Kituo cha afya kila kata:, Sh. trilioni 19.7 Jumla makadirio: Sh. trilioni 44, Ni 44% ya bajeti ya serikali ya miaka mitano. Ahadi: Zahanati kila kijiji, kituo cha afya kila kata, hospitali kila wilaya pamoja na hospitali ya Rufaa kwa kila mkoa.[/h]







Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, katika mikutano yake ya kampeni, ameahidi kujenga zahanati katika kila kijiji nchini, kituo cha afya katika kila kata, hospitali kila wilaya na hospitali ya rufaa kila mkoa, endapo atapata ridhaa ya kuwa rais wa awamu ya tano, ili kuboresha huduma za afya nchini.

Gazeti hili limetafuta gharama ya kutekeleza ahadi hii kubwa kabisa kuwahi kutolewa na mgombea urais tangu kuanza mfumo wa vyama vingi nchini.

Katika kutafuta na kuchambua uhalisia wa ahadi hii, gazeti hili limepata taarifa za Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii zinazoonyesha kwamba gharama za kujenga zahanati moja ya kijiji ni takribani Sh. bilioni 1.3 hadi kukamilika kwake.

Aidha, ujenzi wa kituo cha afya ambacho majengo yake yana sifa zinazostahili, unakadiriwa kugharimu Sh. bilioni 5.5 hadi kukamilika kwake.

Kwa upande wa ujenzi wa hospitali yenye hadhi ya wilaya, ujenzi wake unakadiriwa kugharimu kiasi cha Sh. bilioni 30 ili majengo yake yakamilike na kutumiwa kwa shughuli za kutoa huduma za afya.

Makisio ya Wizara ya Afya ambayo Nipashe iliyapata, ujenzi wa hospitali ya mkoa wowote hapa nchini, unakadiriwa kutumia Sh. bilioni 50 na hospiatli moja ya rufaa inagharimu Sh. bilioni 80.

Kwa mujibu wa Kitengo cha Uhandisi katika wizara hiyo, gharama hizo ni makisio na zinaweza kupungua au kuongezeka kwa asilimia tano kutegemea eneo na ushindani wa manunuzi husika.

Makadirio ya gharama
Gazeti hili limejikita tu katika ahadi kuu mbili, ujenzi wa zahanati kila kijiji na ujenzi wa kituo cha afya kila kata, nchi nzima, kama alivyoahidi Dk. Magufuli katika kampeni zake.

Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Tanzania ina vijiji 19,200. Kwa sababu hiyo, Ili kuvijengea zahanati kwa kila kimoja, zitahitajika Sh. trilioni 24.960, sawa na Dola za Marekani bilioni 12.48, endapo mradi huu utatekekezwa katika kipindi cha miaka mitano.

Kwa kuwa haya ni makadirio tu, gharama hizi zinaweza kupungua au kupaa zaidi katika kipindi hicho kulingana na mfumuko wa bei au thamani ya Sarafu ya Tanzania dhidi ya Dola ya Marekani.

Gazeti hili limekadiria thamani ya Shilingi kwa Dola ya Marekani kuwa ni Sh. 2,000, japo mpaka sasa thamani halisi katika soko ni zaidi ya kiwango hicho. Hii ina maana kwamba zahanati moja itagharimu Dola za Marekani 650,000(Sh. bilioni 1.3) na hivyo basi kwa vijiji 19,200, jumla itakuwa Dola za Marekani bilioni 12.48(Sh. trilioni 24.960). Hii ni sawa na wastani wa Sh. trilioni 4.992 sawa na dola za Marekani bilioni 2.496 kwa mwaka endapo mradi huu utatekelezwa katika kipindi cha miaka mitano ya awamu ya tano ya Dk. Magufuli. Idadi hii inaweza kupungua kidogo kutokana na ukweli kwamba baadhi ya vijiji tayari vina zahanati, japo kwa uchache ukizingatia hali ya huduma za afya nchini.

Kiasi hiki cha fedha kwa mwaka ni sawa na asilimia 22 ya bajeti yote ya serikali iliyowasilishwa bungeni katika mwaka wa fedha wa 2015/16.

Katika mwaka wa fedha wa 2015/16 Serikali imepanga kutumia kiasi cha Sh. trilioni 22.495.
Fedha zitakazohitajika kwa mwaka kujenga zahanati tu kwa kila kijiji ni mara sita ya bajeti ya Wizara ya Afya ya mwaka 2015/16.

Katika mwaka wa fedha wa 2015/16, Serikali ilitenga kiasi cha Sh. bilioni 813.976 (sawa na Dola za Marekani milioni 400) kwa ajili ya bajeti yote ya Wizara ya Afya.

Kituo cha afya kila kata
Kwa mujibu wa Tamisemi, idadi ya kata zote nchini ni 3,802. Kwa sababu hiyo, ili kujenga kituo cha kisasa cha afya kwa kila kata, Dk. Magufuli atahitaji kiasi cha Sh. trilioni 19 (Dola za Marekani bilioni 9.505) katika miaka mitano endapo serikali yake itatekeleza mpango huu kabambe.

Kwa mujibu wa makadirio kutoka Wizara ya Afya, kujenga kituo cha afya cha kisasa kinachoweza kuhudumia kata, gharama yake ni wastani wa Sh. bilioni tano (Dola za Marekani milioni 2.5.)

Hii gharama ni sawa na wastani wa Sh. trilioni 3.802 kwa mwaka katika miaka mitano ya kwanza ya utekelezaji wa mradi huu.

Jumla ya fedha inayotakiwa katika kujenga zahanati kila kijiji na kituo cha afya kila kata inakadiriwa kuwa Sh. trilioni 43.960 (Dola za Marekani bilioni 21.985) kwa miaka mitano (sawa na asilimia 40 ya bajeti ya serikali ya miaka mitano) kwa kutumia kipimo cha bajeti ya mwaka 2015/16.

Ikumbukwe kwamba bajeti ya serikali hupanda kila mwaka kulingana na mahitaji halisi ya kiuchumi na matumizi ya serikali.

Gazeti hili limejikita tu katika ahadi kuu mbili, ujenzi wa zahanati kila kijiji na ujenzi wa kituo cha afya kila kata, nchi nzima, kama alivyoahidi Dk. Magufuli katika kampeni zake.



kichwa kinaniuma sana....naiwaza Tanzania yangu
CHANZO:
 
Fedha hizo sijui zitapatikana wapi?

Ok serikali ikiamua kufuta misamaha ya kodi na kudhibiti wala rushwa pesa hizo zinaweza kupatikana

Tatizo sio nchi ni maskini ila uzembe katika ukusanyaji wa mapato ya serikali na matumizi ya hovyo na ubadhirifu ndio vimetufanya tufike hapa tulipo
 
Back
Top Bottom