Ni uchumi ktk kilimoWakuu kwa anaeifahamu agronomy au ameshaisoma ninaomba ufafanuzi kidogo, na vip kuhusu soko lake la ajira??
Ni uchumi ktk kilimo
Soko ni wewe kujiari
Bro ninaelewa ninachokisemaHapana mkuu, hapa umempotosha mwenzio. Hiyo uliyoisema wewe ni "AGRIBUSINESS".
Agronomy ni kitu kingine tofauti kabisa.
Wakuu kwa anaeifahamu agronomy au ameshaisoma ninaomba ufafanuzi kidogo, na vip kuhusu soko lake la ajira??
Bro ninaelewa ninachokisema
Hapo ni kilimo na uchumi
Ukitaka darasa nikupe
Umeeleza vizuri hapo juu mkuu...NARUDIA TENA (THIS TIME WITH CAPITAL LETTERS), AGRONOMY SIO KILIMO NA UCHUMI.
Pitia prospectus ya SUA tafuta bsc. Agronomy ujue inahusu nini, pia tafuta bsc. Agricultural Economics and Agribusiness (AEA) inahusu nini, ukishamaliza njoo uombe msamaha kwa kujaribu kupotosha (kwa kutokujua) niko hapa nakusubiri.
I AM SORRY, I'M NOT DISCUSSING HERE, I'M TELLING YOU.
Nakazia ukitaka ufaidi hii kozi kuwa na master's yake utazikimbia kazi mtaani....Bsc.Agronomy ni kozi ya miaka mitatu inayotolewa SUA pekee kwa hapa nchini kwetu. Hi ni kozi ya kilimo (kama zilivyo kozi zingine kadhaa za kilimo) ambayo imejikita hasa kwenye mambo matatu yafuatayo;
1. Sayansi ya udongo
2. Mbolea
3. Vipando/Vipandwa (mbegu na vyote viotavyo).
Soko lake la ajira sio baya wala sio zuri (so, no promises to make here). Miongoni mwa kozi za SUA hii ni kati ya zile tunaziita "kozi nzuri".
Iombe hii kozi (nilisikika nikikushauri).
Asante sana Dr. kwa msisitizo wako.Nakazia ukitaka ufaidi hii kozi kuwa na master's yake utazikimbia kazi mtaani....
Mkuu nashukuru, umefafanua vizurBsc.Agronomy ni kozi ya miaka mitatu inayotolewa SUA pekee kwa hapa nchini kwetu. Hi ni kozi ya kilimo (kama zilivyo kozi zingine kadhaa za kilimo) ambayo imejikita hasa kwenye mambo matatu yafuatayo;
1. Sayansi ya udongo
2. Mbolea
3. Vipando/Vipandwa (mbegu na vyote viotavyo).
Soko lake la ajira sio baya wala sio zuri (so, no promises to make here). Miongoni mwa kozi za SUA hii ni kati ya zile tunaziita "kozi nzuri".
Iombe hii kozi (nilisikika nikikushauri).
Masters yake ni miaka mingapi?Nakazia ukitaka ufaidi hii kozi kuwa na master's yake utazikimbia kazi mtaani....
Miaka miwili tu MkuuMasters yake ni miaka mingapi?
Ahaaaa thanks kk..Miaka miwili tu Mkuu
Naomba kukuuuliza kipi bora kati ya kutokea kazini kwenda kusoma masters au kuunganisha moja kwa moja ?Miaka miwili tu Mkuu