"Nasimama mbele yenu ndugu zangu kwa heshima na taadhima naombeni kura zenu zote kwa Mama yetu Samia Suluhu Hassan, ni mwanamke aliyetuheshimisha wanawake. Mama Samia sio fisadi, Mama Samia sio mwizi na ndio maana wanawake wa Mkoa wa Mara tunathubutu kusema mitano tena inakustahili Mama.
..... Tulikwenda wanawake kutoka kila Kata za Mkoa wa Mara nyumbani kwa Mama Samia anapoishi yeye na Mama yake mzazi. Tulikwenda kuangalia, na wanawake wa kila Kata za Mkoa wa Mara ni mashuhuda Mama, walidhani watakutana na maghorofa, wanawake wakakuta nyumba anayoishi Mama yako mzazi, Mhe. Mwenyekiti wetu ni kama nyumba anayoishi Mama yangu mimi, Muuza dagaa."- Agnes Marwa, Mbunge mteule wa viti Maalum Mkoa wa Mara, akizungumza kwenye Kampeni za Dkt. Samia Suluhu Hassan Musoma Mjini leo Oktoba 09, 2025.
Uchawa kwenye nchi utaendelea kutukwamisha kila siku ya Mungu!"Nasimama mbele yenu ndugu zangu kwa heshima na taadhima naombeni kura zenu zote kwa Mama yetu Samia Suluhu Hassan, ni mwanamke aliyetuheshimisha wanawake. Mama Samia sio fisadi, Mama Samia sio mwizi na ndio maana wanawake wa Mkoa wa Mara tunathubutu kusema mitano tena inakustahili Mama.
..... Tulikwenda wanawake kutoka kila Kata za Mkoa wa Mara nyumbani kwa Mama Samia anapoishi yeye na Mama yake mzazi. Tulikwenda kuangalia, na wanawake wa kila Kata za Mkoa wa Mara ni mashuhuda Mama, walidhani watakutana na maghorofa, wanawake wakakuta nyumba anayoishi Mama yako mzazi, Mhe. Mwenyekiti wetu ni kama nyumba anayoishi Mama yangu mimi, Muuza dagaa."- Agnes Marwa, Mbunge mteule wa viti Maalum Mkoa wa Mara, akizungumza kwenye Kampeni za Dkt. Samia Suluhu Hassan Musoma Mjini leo Oktoba 09, 2025.
Wanajisumbua bure."Nasimama mbele yenu ndugu zangu kwa heshima na taadhima naombeni kura zenu zote kwa Mama yetu Samia Suluhu Hassan, ni mwanamke aliyetuheshimisha wanawake. Mama Samia sio fisadi, Mama Samia sio mwizi na ndio maana wanawake wa Mkoa wa Mara tunathubutu kusema mitano tena inakustahili Mama.
..... Tulikwenda wanawake kutoka kila Kata za Mkoa wa Mara nyumbani kwa Mama Samia anapoishi yeye na Mama yake mzazi. Tulikwenda kuangalia, na wanawake wa kila Kata za Mkoa wa Mara ni mashuhuda Mama, walidhani watakutana na maghorofa, wanawake wakakuta nyumba anayoishi Mama yako mzazi, Mhe. Mwenyekiti wetu ni kama nyumba anayoishi Mama yangu mimi, Muuza dagaa."- Agnes Marwa, Mbunge mteule wa viti Maalum Mkoa wa Mara, akizungumza kwenye Kampeni za Dkt. Samia Suluhu Hassan Musoma Mjini leo Oktoba 09, 2025.
Wanajishtukia ππππAnamuombea kura anashindana na chama kipi?
Chama kipi anacho shindana nacho walidai yeye ni fisadi?
Kwahiyo kipimo mlichotumia nyie mnataka kiwe kipimo cha Watanzania,tena watanzania Wazalendo sio?Basi poleni sana!"Nasimama mbele yenu ndugu zangu kwa heshima na taadhima naombeni kura zenu zote kwa Mama yetu Samia Suluhu Hassan, ni mwanamke aliyetuheshimisha wanawake. Mama Samia sio fisadi, Mama Samia sio mwizi na ndio maana wanawake wa Mkoa wa Mara tunathubutu kusema mitano tena inakustahili Mama.
..... Tulikwenda wanawake kutoka kila Kata za Mkoa wa Mara nyumbani kwa Mama Samia anapoishi yeye na Mama yake mzazi. Tulikwenda kuangalia, na wanawake wa kila Kata za Mkoa wa Mara ni mashuhuda Mama, walidhani watakutana na maghorofa, wanawake wakakuta nyumba anayoishi Mama yako mzazi, Mhe. Mwenyekiti wetu ni kama nyumba anayoishi Mama yangu mimi, Muuza dagaa."- Agnes Marwa, Mbunge mteule wa viti Maalum Mkoa wa Mara, akizungumza kwenye Kampeni za Dkt. Samia Suluhu Hassan Musoma Mjini leo Oktoba 09, 2025.