Kuna viwanda bila uhakika wa maji.Acha kujitoa ufahamu jombaaMkandarasi akishindwa kutekeleza mkataba ananyang'anywa passport? Tena na rais? Hadharani? Halafu anapigiwa vigelegele? Huyu kweli ni rais wa misifa tu (cheap popularity).
Jamaa keshatuona Watanzania ni zaidi ya vilaza. Yaani hatuna hata chembe ya fikra zaidi ya kushangilia kila ujinga. Yaani, wapumbavu kabisa. Haya tuone tutaendelea hivi hivi hadi lini kuifikia hiyo Tanzania ya viwanda.
Amelipwa mwaka gani labda tujue...isije ikawa january mwaka huu.Kwa maelezo ni kwamba ashalipwa bilion zaidi ya 20, mradi una ghalimu bils 28.
Kama ni down payment naona keshalipwa kubwa mkuu na sidhani kama kuna mradi mkandarasi analipwa pesa yote kabla ya mradi kuisha....
Ngoja tuone hizi sarakasi mwisho wake nini.
Sasa wewe bashite hujaelewa nini, kwani Magufuli ni Rais wa India hadi achukue hati ya kusafiria ya raia wa India?Passport ni mali ya serikali na imeandikwa katika page ya kwanza, kwamba inaweza kuchukuliwa wakati wowote.
Raisi wa JMT, au waziri Mkuu au waziri mwenye dhamana wote wanayo mamlaka ya kuagiza/kuamuru passport kuchukuliwa kutoka kwa alie nayo kwa sababu mbalimbali kama vile usalama wa taifa, maslahi ya taifa na matumizi yasiyo mema.
Kwa hiyo, huyo mhindi kuna sababu maalum ya kuchukuliwa passport yake.
Raisi huwa hatoi kauli hadharani kama watu wengine bila kuwa na taarifa zote muhimu.
Wakati mwingine tuwe tunatumia muda kidogo kujifunza mambo madogo na ya msingi kama haya.
Sisi Watanzania tuna shida sana hatujawai kujua tunataka ninihao watu wanatuibia halafu tunakuja kuwatetea hizo pesa ni kodi zetu mwachieni mhusika aje atoe maelezo tumsikie ndio tuone kama rais alikuwa sahihi kiasi gani
Angalia mkataba unasemaje bogas matkk yako wewe hurusiwi kutika site Mpaka kazi itakapo kamilika na kukabidh kwa msimamiz wa mradi husikaWatu ni Waoga angeniita Bogas Kwenye Maswala ya Biashara na mikataba hapo hapo Ningemuita Bogas ni Yeye na Matako yake! Athubutu kunyang'anya Pasi ya Mmarekani ndio atajua Sangara ni Samaki na sii nguruwe! Mkondorasi ana Miradi Mingi na Sio Jukumu lake kukaa Site, Kika Mkondorasi anakuwa na Wasimamizi wa Miradi Foreman, Superintendents na Ma Project Managers Unamwambia Mkondorasi Utamnyanganya Passport mpaka siondoke mpaka amalize kazi wewe ndiye Mahakama ya Mikataba. Huyu Rais Nunda hasa!
Mkuu is right he was to handover the project 2015 this the 3rd year kabla hajamalizanimependa hapo "I WILI SHOO YUU" dah English ya ndaniii inabidi uwefit kuelewa vocabulary au ubebe dictionary ase.
By the way hajakutana na mkandarasi anayejiamini,asingekubali kuitwa bogus na kuamrishwa kutoa passpot mpaka amwone wakili wake! It izi noti propa kumgombeza hadharani,angeitwa chemba
Nakwambia sasa hivi watu wanaponda kila kitu hata kiwe kwa manufaa yao siasa imeharibu kila kitu.
Mimi personally simkubari jamaa lakini siwezi ponda kila kitu penye jambo la kuunga mkono liungwe mkono.
Mtu anaona sawa tu kanjbai apge ela yetu na asepe kiholela..
Unapozungumzia neno "Mkataba" jua unazungumzia sheria. Kuna sehemu yeyote ya mkataba inayosema kama mradi haukuisha kwa muda uliopangwa, basi mkandarasi atanyang'anywa passport? " delive your passport please"Siyo mwekezaji ni mkandarasi...
Tutajua baadae kanjbai asituletee utapeli bils zetu kala maji hamna halafu akae na passport aje atukimbie..
Alete maji asituletee mchezo maana hata yeye mkataba unasema atajenga mradi wa maji uishe 1 March 2015 now 2017 maji hollah
Kuna wakati humu JF, tulimsema sana Mtemvu kwa kupeleka watumwa uarabuni. Moja ya sababu iliyotolewa ni wale watumwa wakifika huko umangani, wananyang'anywa passport. Leo hii tunashangilia JPM, I can smell hypocrisy.Mkuu is right he was to handover the project 2015 this the 3rd year kabla hajamaliza
Kwakweli niliposikia Habari hiyo kwa Mara ya kwanza nilijihisi mwili kupata baridi, na kujiuliza ni kifungu cha sheria ipi kinatumika kutekeleza agizo hilo, as long kwamba mkandarasi ni RAIA wa kigeni hapo tayari inahusisha maslahi ya nchi 2,Kama ilivyoripotiwa kwenye vyombo vya habari kuwa Mheshimiwa Rais ameagiza Mkandarasi wa Maji huko Lindi anyang'anywe pasipoti yake.
Ila kwa upande wangu sioni kama limefuata sheria kwani pasiport ni mali ya nchi iliyompatia mhusika na kwa mujibu wa sheria ya pasipoti, nchi husika huomba raia wake alindwe kwa namna yoyote na host country na ikibidi kukamatwa basi nchi husika ijulishwe. Swali langu, je Mkandarasi huyu kavunja sheria ipi ya nchi?
Kama alichelewa kulipwa fedha za mradi tulitegemea ajenge kwa fedha zake mfukoni?? Naomba kujuzwa kwani elimu yangu ni ndogo.
"Under the law of most countries, passports are government property, and may be limited or revoked at any time, usually on specified grounds, and possibly subject to judicial review"
Utawala wa sheria gani huo? Kama kuna masharti yamevunjwa katika huo mkataba na mkandarasi, serikali ilitakiwa ifungue kesi makahamani. Prosecutor angemuomba hakimu kuzuia passport za washitakiwa. Kama Hakimu atakubaliana na ombi la mwendesha mashitaka, Court order ingetolewa. Kitendo alichofanya JPM, kimemshushia heshima hasa katika jamii za kimataifa,Passport ni mali ya serikali na imeandikwa katika page ya kwanza, kwamba inaweza kuchukuliwa wakati wowote.
Raisi wa JMT, au waziri Mkuu au waziri mwenye dhamana wote wanayo mamlaka ya kuagiza/kuamuru passport kuchukuliwa kutoka kwa alie nayo kwa sababu mbalimbali kama vile usalama wa taifa, maslahi ya taifa na matumizi yasiyo mema.
Kwa hiyo, huyo mhindi kuna sababu maalum ya kuchukuliwa passport yake.
Raisi huwa hatoi kauli hadharani kama watu wengine bila kuwa na taarifa zote muhimu.
Wakati mwingine tuwe tunatumia muda kidogo kujifunza mambo madogo na ya msingi kama haya.
Nyongeza tu malipo yanafanyika baada ya ukaguzi wa Kazi iliyofanyika kulingana na mkataba, sasa kama wamelipa zaidi kuliko kazi ni kosa la mkandalasi ama ni watendaji wake?Kuna taratibubza kisheria...sio mkuu kupiga biti na kunyanganya passport..km mwekezaji anatakiwa apelekwe mahakani na si vinginevyo..hakuna sehemu ya mkataba inataka wanyanganywe passport
Nyongeza tu malipo yanafanyika baada ya ukaguzi wa Kazi iliyofanyika kulingana na mkataba, sasa kama wamelipa zaidi kuliko kazi ni kosa la mkandalasi ama ni watendaji wake?
Huenda hatua mojawapo ni kumpokonya hati yake ya kusafiria. Tusubiri tuone atachukua hatua ganiKwahiyo kwa ulichoandika hapo ni sawa kabisa kusema kuwa Mkandarasi ameitoa jasho serikali.
Maana kama Mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa na Waziri mkuu wote walishindwa basi hatari.
Kwani hakuna kipengele (contractual clause) kwenye Mkataba kinacholekeza iwapo Mkandarasi hatimizi wajibu wake ni hatua gani za kuchukua?
eweTaratibu za kwenye mkataba zinasema anyanganywe passport?
Kwa RAIA wa nchi husika sio RAIA wa kigeni unafanya jambo kirahisi rahisi kiasi hicho.Passport ni mali ya serikali na imeandikwa katika page ya kwanza, kwamba inaweza kuchukuliwa wakati wowote.
Raisi wa JMT, au waziri Mkuu au waziri mwenye dhamana wote wanayo mamlaka ya kuagiza/kuamuru passport kuchukuliwa kutoka kwa alie nayo kwa sababu mbalimbali kama vile usalama wa taifa, maslahi ya taifa na matumizi yasiyo mema.
Kwa hiyo, huyo mhindi kuna sababu maalum ya kuchukuliwa passport yake.
Raisi huwa hatoi kauli hadharani kama watu wengine bila kuwa na taarifa zote muhimu.
Wakati mwingine tuwe tunatumia muda kidogo kujifunza mambo madogo na ya msingi kama haya.
It is very sad, it seems like Pombe has a mental illness"Deliver your passport" - seems a contractor has become a delivery man) . You don't translate Swahili to English like that ( I will show you.....He meant nitakuonyesha ya kuwakomesha......) So sad most Tanzanians don't pick up this nonsense and keep celebrating.