Agizo la Rais kunyang'anywa Passport Mkandarasi wa Maji

Kuna viwanda bila uhakika wa maji.Acha kujitoa ufahamu jombaa
 
Amelipwa mwaka gani labda tujue...isije ikawa january mwaka huu.
 
Sasa wewe bashite hujaelewa nini, kwani Magufuli ni Rais wa India hadi achukue hati ya kusafiria ya raia wa India?
 
hao watu wanatuibia halafu tunakuja kuwatetea hizo pesa ni kodi zetu mwachieni mhusika aje atoe maelezo tumsikie ndio tuone kama rais alikuwa sahihi kiasi gani
Sisi Watanzania tuna shida sana hatujawai kujua tunataka nini
Rais Magufuli pamoja na jitihada zote anazofanya lakini anatengenezewa mazingira ya kuonekana ni an enemy of the people.Tanzania tulishazoea viongozi wasanii wasanii tu ambao walishajua kudeal na shida zetu za muda mfupi.
 
Angalia mkataba unasemaje bogas matkk yako wewe hurusiwi kutika site Mpaka kazi itakapo kamilika na kukabidh kwa msimamiz wa mradi husika

Ili kuendana na muda mliokubaluana
 
Mkuu is right he was to handover the project 2015 this the 3rd year kabla hajamaliza
 

Huendwanaopinga/kosoa hawana nia mbaya... Ni kwa wema km Mh rais anavyoyafanya kwa wema..
Mf...iliyoomba kazi ni company , ndio inatakiwa kushitakiwa na taratibu zipo.
Hapo hapo wanaokosoa lazima wakumbuke hizi mambo za mikataba na wakandarasi zina mambo mengi... Huenda kuna kitu Mh. Ashanusa.mf wengi wanaoonekana kuwa ni company za nje, wamiliki wake ni wa humu ndani na uwezo wa kazi hawana... Hao Indians / Chinese wanawekwa kama kanyaboya. Watu wanapiga hela kazi hakuna na company hewa.. Ukishitaki company unashitaki hewa.
 
Unapozungumzia neno "Mkataba" jua unazungumzia sheria. Kuna sehemu yeyote ya mkataba inayosema kama mradi haukuisha kwa muda uliopangwa, basi mkandarasi atanyang'anywa passport? " delive your passport please"
 
Mkuu is right he was to handover the project 2015 this the 3rd year kabla hajamaliza
Kuna wakati humu JF, tulimsema sana Mtemvu kwa kupeleka watumwa uarabuni. Moja ya sababu iliyotolewa ni wale watumwa wakifika huko umangani, wananyang'anywa passport. Leo hii tunashangilia JPM, I can smell hypocrisy.
 
Kwakweli niliposikia Habari hiyo kwa Mara ya kwanza nilijihisi mwili kupata baridi, na kujiuliza ni kifungu cha sheria ipi kinatumika kutekeleza agizo hilo, as long kwamba mkandarasi ni RAIA wa kigeni hapo tayari inahusisha maslahi ya nchi 2,
 
Utawala wa sheria gani huo? Kama kuna masharti yamevunjwa katika huo mkataba na mkandarasi, serikali ilitakiwa ifungue kesi makahamani. Prosecutor angemuomba hakimu kuzuia passport za washitakiwa. Kama Hakimu atakubaliana na ombi la mwendesha mashitaka, Court order ingetolewa. Kitendo alichofanya JPM, kimemshushia heshima hasa katika jamii za kimataifa,
 
Kuna taratibubza kisheria...sio mkuu kupiga biti na kunyanganya passport..km mwekezaji anatakiwa apelekwe mahakani na si vinginevyo..hakuna sehemu ya mkataba inataka wanyanganywe passport
Nyongeza tu malipo yanafanyika baada ya ukaguzi wa Kazi iliyofanyika kulingana na mkataba, sasa kama wamelipa zaidi kuliko kazi ni kosa la mkandalasi ama ni watendaji wake?
 
Huenda hatua mojawapo ni kumpokonya hati yake ya kusafiria. Tusubiri tuone atachukua hatua gani
 
"Deliver your passport" - seems a contractor has become a delivery man) . You don't translate Swahili to English like that ( "I will show you...." He meant nitakuonyesha ya kuwakomesha......Show in English means to be seen, exhibit or display. ) So sad most Tanzanians don't pick up this nonsense and keep celebrating.
 
Kwa RAIA wa nchi husika sio RAIA wa kigeni unafanya jambo kirahisi rahisi kiasi hicho.
 
It is very sad, it seems like Pombe has a mental illness
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…