Habari wanajamvi, japo nimekuja kvingne ndio hivyo naombaa mnipokee na mnitangazee na muwe wateja kwa hili ninalowapa
Nimekuja na biashara yangu ya korosho kama mjasilia mali , Korosho zangu ni kutoka Tandahimba na NEWALA tuu (ambako ndiko ztokazo korosho bora zaid tz). Korosho ninazouza ni korosho iliyobanguliw (goods)
Kwa sasa bei elekezi ni kg 1$6 - kwa wateja wa Tshs ni 12500/- hiyo haijajumuisha gharama za kutumiwa mzigo.
NB:- bei hapo juu ni bei ya jumla kuanzia KG5
Reja reja tshs 15000/- pamoja na kifungashio maalumu (bila usafiri). Korosho zetu ni grade I White & brown zpo .utatumiwa mzigo wa korosho ambao haujavunjika pia unakaribishwa kufika na kujionea.
Unawez kulpa nusu na bei ya mzgo na baada ya mzko kufka utalipia kiasi kilichobak papo hapo.
Contact na mimi
+255652810180.
Pia karibu DM
Karibuni muweke oda zenu.
View attachment 2027913