GreenHouse
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 280
- 262
Kutokana na sababu za kibiashara. Hatuagizi tena gadgets kutoka UK wala kokote duniani.
Habari wana JF,
Kama unahitaji Gadget yoyote kutoka UK, iwe simu, laptop, tablet, smart phone, digital camera nk... unaweza kuwasiliana nami. Ntakununulia na kukuletea kisha utalipia ikishafika na kukukabidhi...
Angalizo: Unapoagiza hakikisha una pesa taslimu za kulipia kwani mzigo ni kati ya siku 7-10 unakuwa tayari umefika.... kwahiyo jipange... Sikopeshi...
NB: Chochote utakachoagiza utalipa gharama ya manunuzi taslimu iliyo kwenye risiti, shipping cost na service charge ya pound 20 tu.. yaani aprox elf50.
Kwa mawasiliano, PM au piga simu namba 0714881500.
Shukran, na Karibuni Sana.
Una deal na brand new tu au hata used ? esp in lap tops....
Habari wana JF,
Kama unahitaji Gadget yoyote kutoka UK (New/Used), iwe simu, laptop, tablet, smart phone, digital camera nk... unaweza kuwasiliana nami. Ntakununulia na kukuletea kisha utalipia ikishafika na kukukabidhi...
Angalizo: Unapoagiza hakikisha una pesa taslimu za kulipia kwani mzigo ni kati ya siku 7-10 unakuwa tayari umefika.... kwahiyo jipange... Sikopeshi...
NB: Chochote utakachoagiza utalipa gharama ya manunuzi taslimu iliyo kwenye risiti, shipping cost na service charge ya pound 20 tu.. yaani aprox elf50.
Kwa mawasiliano, PM au piga simu namba 0714881500.
Shukran, na Karibuni Sana.
Nimekujibu kwa PM Kiongozi.Natafuta mini / pocket projector kwa dar es salaam
Msaada kwa yeyote yule anayeweza kunisaidia kupata mini projector usb connection kwa ajili ya laptop anijulishe PM au hata hapa.
![]()
Nadeal na chochote kile, kama unataka mpya au used ntakusaidia kununua na kukuletea, ukitaka kuona bei ya products mbali mbali pia ntakupa websites zinazouza bidhaa uzitakazo ili uone bei zikoje na uhalisia wa unachonunua.
Karibu sana.
NB: Used gadgets hazina fixed price, kama una muda wa kusubiri naweza kukutafutia taratibu... mpaka utakapopata unachotaka kwa budget yako.