Aggrey Mwanri: Hii ni tabia mbaya kwa Wananchi wako

Nkobe

JF-Expert Member
Feb 17, 2013
2,181
3,215
Mbunge wa Siha na Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa, Aggrey Mwanri amekuwa na tabia mbaya sana kwa wananchi wake, hasa kwa wananchi wanaomzunguka kijijini kwake.

Kiongozi huyu amefanikiwa kununua mashamba ya majirani wanaomzunguka, kwa kuwa jirani zake ni masikini na wasio na elimu ya kutosha, Mbunge huyu kwa kutumia uwezo wake wa kifedha amekuwa akiwashawishi majirani zake maskini wamuuzie mashamba yao. Kwa kuwa wananchi hao ni masikini, ukubali kuuza mashamba hayo kwa Mbunge wao. Hivi sasa Mbunge huyu anamiliki maeneo makubwa kata ya WANDRI wilayani Siha.

Aina ya uongozi wa hivi ni hatari, badala ya kiongozi kuwasaidia wananchi wake ili watumie mashamba yao kuwakwamua ki uchumi, yeye amegeuka kuwa mnunuzi wa hayo mashamba, hii inasikitisha sana hasa ukifika kijiji anachotokea Mheshimiwa huyu. Unapomshawishi mwananchi asie na uwezo akuuzie ardhi, huu ni utapeli kama itapeli. Hii ni tabia mbaya kwa viongozi
 
Huyu ndugu yangu nilimwaminia sana kwa kushusha shule ya marxism. lakini kama ndio hivyo, inaonekana hiyo ilikuwa rap tu, yeye mwenyewe ubepari na unyonyaji umejaa damuni. ndio watu wa Nyerere hawa? kazi kwelikweli...

ni kweli, kutumia udhaifu wa watu ili uwakamue zaidi, HUO NI UUAJI. kwa kutumia EXPOSURE yake, CONTACTS zake, angeweza kuwasaidia wananchi wake watumia ardhi yao vizuri zaidi, kuwatafutia masoko, nk. huko kufoka foka kumbe ni kutisha watu ili apige vizuri? so sad...
 
Tupia ushahidi mkuu...

Mkuu unataka nipege picha mashamba? Ukifika kata anayotoka utapata habari yake, mimi nimekwenda hadi kijijini kwake na kushudia. Amekosea sana kununua mashamba ya wananchi wake
 
Mkuu unataka nipege picha mashamba? Ukifika kata anayotoka utapata habari yake, mimi nimekwenda hadi kijijini kwake na kushudia. Amekosea sana kununua mashamba ya wananchi wake

Hauna document inayoonyesha umiliki wa Mwanri kwenye hayo mashamba?
 
Stori yako imekaa kama jungu vile!
Hebu ifanye ionekane yenye ukweli!!
 
Mbunge wa Siha na Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa, Aggrey Mwanri amekuwa na tabia mbaya sana kwa wananchi wake, hasa kwa wananchi wanaomzunguka kijijini kwake.

Kiongozi huyu amefanikiwa kununua mashamba ya majirani wanaomzunguka, kwa kuwa jirani zake ni masikini na wasio na elimu ya kutosha, Mbunge huyu kwa kutumia uwezo wake wa kifedha amekuwa akiwashawishi majirani zake maskini wamuuzie mashamba yao. Kwa kuwa wananchi hao ni masikini, ukubali kuuza mashamba hayo kwa Mbunge wao. Hivi sasa Mbunge huyu anamiliki maeneo makubwa kata ya WANDRI wilayani Siha.

Aina ya uongozi wa hivi ni hatari, badala ya kiongozi kuwasaidia wananchi wake ili watumie mashamba yao kuwakwamua ki uchumi, yeye amegeuka kuwa mnunuzi wa hayo mashamba, hii inasikitisha sana hasa ukifika kijiji anachotokea Mheshimiwa huyu. Unapomshawishi mwananchi asie na uwezo akuuzie ardhi, huu ni utapeli kama itapeli. Hii ni tabia mbaya kwa viongozi

mkuu unachokisema ni ukweli,huyu ni mbunge wangu, kwa kweli siku hizi anadharau sana wananchi wake anawaona kama takataka,ila ivi majuzi naona ameanza kujinyenyekeza kwa sababu uchaguzi umekaribia,by the way wananchi wa siha tumemchoka sijui safari hii atatumia style gani kuomba kura maana alikua anatumia shule za kata kama point ya kuwashawishi wananchi
 
mkuu unachokisema ni ukweli,huyu ni mbunge wangu, kwa kweli siku hizi anadharau sana wananchi wake anawaona kama takataka,ila ivi majuzi naona ameanza kujinyenyekeza kwa sababu uchaguzi umekaribia,by the way wananchi wa siha tumemchoka sijui safari hii atatumia style gani kuomba kura maana alikua anatumia shule za kata kama point ya kuwashawishi wananchi

Hospitali na barabara.
 
Mkuu unataka nipege picha mashamba? Ukifika kata anayotoka utapata habari yake, mimi nimekwenda hadi kijijini kwake na kushudia. Amekosea sana kununua mashamba ya wananchi wake

Nakuunga mkono niliwahi kupita hapo kijiji cha wanri nakaonyeshwa nyumbani kwake na mashamba mazuri ya kahawa. Na alienipitisha hapo ni jamaa wa ukoo huo huo wa mwanri kwa hiyo alinipitisha kwa misingi ya kujifaharisha na nikajua huenda ni urithi, endapo anawarubuni wapiga kura wake ni jambo baya ukizingatia uhaba wa ardhi katika wilaya ya siha.
 
Nakuunga mkono niliwahi kupita hapo kijiji cha wanri nakaonyeshwa nyumbani kwake na mashamba mazuri ya kahawa. Na alienipitisha hapo ni jamaa wa ukoo huo huo wa mwanri kwa hiyo alinipitisha kwa misingi ya kujifaharisha na nikajua huenda ni urithi, endapo anawarubuni wapiga kura wake ni jambo baya ukizingatia uhaba wa ardhi katika wilaya ya siha.
Delete futa kabisa ccm
 
2010 alimchezea rafu kamanda wetu na pesa zake za kifisadi

Eng. Humphray kupitia chadema.

Lakini safari hii lazima tumpige chini.
 
biashara ni maelewano ya pande mbili.

hawakulazmishwa kuuza, ni hiari yao.

au ulitaka anunue mtu mwingne, na c mwanri.
 
Back
Top Bottom