mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,363
- 224
inaboa sana.
zipo tetesi kwamba wanakaribia kupata contract ya kutengeneza umeme kwa mafuta ya dizeli, tanga na dar....sijui kama ni kweli ila utata upo kwenye kutumia dizeli...itakuwa ghali sana