Uchaguzi 2020 Agenda 2020 jimbo la Mwibara

zebedayo musibha

Senior Member
Oct 26, 2019
111
86
Jimbo la MWIBARA ni moja ya majimbo matatu yanayo unda wilaya ya Bunda. Jimbo hili linaundwa na kata 12 ambazo ni BUTIMBA, Kasuguti, Nyamihoro, Neruma, Kibara, Chitengule, Nansimo, Kisorya , Nampindi, Igundu, Iramba na Namhula.

Shughuli kubwa za uchumi ndani ya jimbo hili ni UVUVI, KILIMO NA UFUGAJI lakini hadi sasa hakuna mikakati yeyote ktk kukuza uchumi wa jimbo.

Miundo mbinu kama barabara na vivuko kwa usafiri wa visiwani na maeneo mengine jirani ni mibovu sana licha ya mvua lakini hata kabla, miundombinu haikuwa rafiki.

Huduma za jamii kama vile Afya, Elimu na Maji sio rafiki.

Hali hii imewafanya wana Mwibara kwa pamoja kuitaji kiongozi atakae tuvusha 2020

Na agenda ya wana mwibara wanaitaji kiongozi kama Cypirian Majura Musiba ambaye ameonesha uthubutu ktk harakati za maendeleo
Kama ilivyo kuwa kwa mitume kama PAULO (Sauli) alivyokuwa na falisafa ya HAKI KWA IMANI watu hawakumwelewa lakini alivipiga vita vilivyo vikuu

Mtume wa kweli kwa wana Mwibara 2020 Mr. MUSIBA anatosha.
 
Kama Mwibara wanamhitaji Musiba basi bado mpo karne ya 18.
 
Jimbo la MWIBARA ni moja ya majimbo matatu yanayo unda wilaya ya BUNDA
Jimbo hili linaundwa na kata 12 ambazo ni BUTIMBA, KASUGUTI, NYAMIHORO, NERUMA, KIBARA, CHITENGULE, NANSIMO, KISORYA , NAMPINDI, IGUNDU, IRAMBA NA NAMHULA

Shughuli kubwa za uchumi ndani ya jimbo hili ni UVUVI, KILIMO NA UFUGAJI lakini hadi sasa hakuna mikakati yeyote ktk kukuza uchumi wa jimbo

Miundo mbinu kama barabara na vivuko kwa usafiri wa visiwani na maeneo mengine jirani ni mibovu sana licha ya mvua lakini hata kabla, miundombinu haikuwa rafiki.

Huduma za jamii kama vile AFYA, ELIMU NA MAJI bado sio rafiki

Hali hii imewafanya wana mwibara kwa pamoja kuitaji kiongozi atakae tuvusha 2020

Na agenda ya wana mwibara wanaitaji kiongozi kama Cypirian Majura Musiba ambaye ameonesha uthubutu ktk harakati za maendeleo
Kama ilivyo kuwa kwa mitume kama PAULO (Sauli) alivyokuwa na falisafa ya HAKI KWA IMANI watu hawakumwelewa lakini alivipiga vita vilivyo vikuu

Mtume wa kweli kwa wana mwibara 2020 Mr. MUSIBA anatosha
Kwanini usigombee wewe bwashee!
 
Nanukuu
"Hakuna Mwibara bila Kangi Lugola na hakuna Kangi Lugola bila Mwibara" kangi lugola 2014
 
Akasome kwanza. Alishindwa kumaliza hata kidato cha 4 sasa unataka kumpa ubunge!
Jimbo la MWIBARA ni moja ya majimbo matatu yanayo unda wilaya ya BUNDA
Jimbo hili linaundwa na kata 12 ambazo ni BUTIMBA, KASUGUTI, NYAMIHORO, NERUMA, KIBARA, CHITENGULE, NANSIMO, KISORYA , NAMPINDI, IGUNDU, IRAMBA NA NAMHULA

Shughuli kubwa za uchumi ndani ya jimbo hili ni UVUVI, KILIMO NA UFUGAJI lakini hadi sasa hakuna mikakati yeyote ktk kukuza uchumi wa jimbo

Miundo mbinu kama barabara na vivuko kwa usafiri wa visiwani na maeneo mengine jirani ni mibovu sana licha ya mvua lakini hata kabla, miundombinu haikuwa rafiki.

Huduma za jamii kama vile AFYA, ELIMU NA MAJI bado sio rafiki

Hali hii imewafanya wana mwibara kwa pamoja kuitaji kiongozi atakae tuvusha 2020

Na agenda ya wana mwibara wanaitaji kiongozi kama Cypirian Majura Musiba ambaye ameonesha uthubutu ktk harakati za maendeleo
Kama ilivyo kuwa kwa mitume kama PAULO (Sauli) alivyokuwa na falisafa ya HAKI KWA IMANI watu hawakumwelewa lakini alivipiga vita vilivyo vikuu

Mtume wa kweli kwa wana mwibara 2020 Mr. MUSIBA anatosha
 
Hakuna malefu yasio kuwa na ncha
Na hakuna mwanzo usio kuwa na mwisho

Dhana hiyo hiyo alikuwanayo MTAMWEGA 1995 -2005
Leo yuko wapi.
Unampigia debe kaka yako Musiba huyuhuyu Lumumba Fc?

Ni bora jimbo liongozwe hata yule teja mdude nyagali kuliko huu upuuzi
 
Unampigia debe kaka yako Musiba huyuhuyu Lumumba Fc?

Ni bora jimbo liongozwe hata yule teja mdude nyagali kuliko huu upuuzi
Usifananishe wanamwibara kama mateja

Huu ndio msimamo wa wanamwibara kuwa agenda yetu 2020 ni MUSIBA
Hivyo napaza sauti
 
Usifananishe wanamwibara kama mateja

Huu ndio msimamo wa wanamwibara kuwa agenda yetu 2020 ni MUSIBA
Hivyo napaza sauti
Yaonekana huyu jamaa ni ndugu yako. Ushauri wangu ni kwamba badala na kuanza kampeni na kuonesha kwamba anafaa, ungeomba ushauri jinsi gani mpate Mbunge anayefaa. Hatutegemei tena watu wanaotoa ahadi ya maendeleo wakati tunajua kazi ni uwakilishi na siyo maendeleo. Enzi za ahadi za uongo ziishie awamu ya 4.

Tunachoweza kufanya hapa, ni kumjadili Msiba pamoja na wagombea wengine. Je, yeye ndo the best? Yawezekana wote wakawa ni hoi lakini yeye ana nafuu. Lakini pia yawezekana wote wakawa safi kabisa lakini yeye ndo top. Naomba ulete majina mengine tujadili, badala ya wewe kutueleza kwamba ndo the best.
 
Yaonekana huyu jamaa ni ndugu yako. Ushauri wangu ni kwamba badala na kuanza kampeni na kuonesha kwamba anafaa, ungeomba ushauri jinsi gani mpate Mbunge anayefaa. Hatutegemei tena watu wanaotoa ahadi ya maendeleo wakati tunajua kazi ni uwakilishi na siyo maendeleo. Enzi za ahadi za uongo ziishie awamu ya 4.

Tunachoweza kufanya hapa, ni kumjadili Msiba pamoja na wagombea wengine. Je, yeye ndo the best? Yawezekana wote wakawa ni hoi lakini yeye ana nafuu. Lakini pia yawezekana wote wakawa safi kabisa lakini yeye ndo top. Naomba ulete majina mengine tujadili, badala ya wewe kutueleza kwamba ndo the best.
1. ALFAXADI KANGI LUGOLA
2.CYPIRIAN MAJURA MUSIBA
3.CHARLES MUGUTA KAJEGE
4.BITURO PASIKALI KAJELI
 
Ngojera za msiba zote ni kutaka jimbo LA mwibara mwambie wana kibada
Anajisumbua tu bora aendelee na umbea labda utamlipa sio kawa mp maaana kichwani ni unafiki mtupu

Moyo wa upendo
Moyo usio na hila

Msiba hapana
 
Duuu Musiba tena????? Hakuna kabisa watu wa kugombea huko???? Mbona majanga. Huyu Musiba pimbi fulani hivi ambaye kutwa kucha anaharibu watu mmmmmmm hayaaa
Jimbo la MWIBARA ni moja ya majimbo matatu yanayo unda wilaya ya BUNDA
Jimbo hili linaundwa na kata 12 ambazo ni BUTIMBA, KASUGUTI, NYAMIHORO, NERUMA, KIBARA, CHITENGULE, NANSIMO, KISORYA , NAMPINDI, IGUNDU, IRAMBA NA NAMHULA

Shughuli kubwa za uchumi ndani ya jimbo hili ni UVUVI, KILIMO NA UFUGAJI lakini hadi sasa hakuna mikakati yeyote ktk kukuza uchumi wa jimbo

Miundo mbinu kama barabara na vivuko kwa usafiri wa visiwani na maeneo mengine jirani ni mibovu sana licha ya mvua lakini hata kabla, miundombinu haikuwa rafiki.

Huduma za jamii kama vile AFYA, ELIMU NA MAJI bado sio rafiki

Hali hii imewafanya wana mwibara kwa pamoja kuitaji kiongozi atakae tuvusha 2020

Na agenda ya wana mwibara wanaitaji kiongozi kama Cypirian Majura Musiba ambaye ameonesha uthubutu ktk harakati za maendeleo
Kama ilivyo kuwa kwa mitume kama PAULO (Sauli) alivyokuwa na falisafa ya HAKI KWA IMANI watu hawakumwelewa lakini alivipiga vita vilivyo vikuu

Mtume wa kweli kwa wana mwibara 2020 Mr. MUSIBA anatosha
 
Musiba ana pwaya,huwezi kumlinganisha na Lugola.Hata boxing match Lugola anamuindoa Musiba kwa KO.
 
Back
Top Bottom