Umeona huyu naye, ilipokuwa enzi ya kikwete mkadai watu wamechagua sura, leo nyie nyumbu mmegeuka kuwa sura ya magufuli haina mvuto-aiseee. Nyie watu mna mpango wa kuipeleka nchi katika machafuko. Hizi si akili za kawaida.
Lowassa bubu...hatumpi kura zetu.
Mbowe turudishie Dr Slaa wetu.