Jana nilimsikiliza magufuli ambaye alikanusha kulazwa ICU, lakini pamoja na kukanusha huko ni wazi sauti yake na mood vilibadilika na kuwa na sauti ya chini na mood ya kukata tamaa. Tunaiomba tume ya uchaguzi impeleke huyu mgombea ulaya akapate matibabu kwanza ndipo aendelee na kampeni zake. Kumbuka mficha ugonjwa mauti humuumbua...!