Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,604
- 4,259
Habari wana JF,
Naamini kila mtu anakubaliana na mimi kuwa habari ya Dr. Ulimboka inaanza kufifia hapa jamvini. Hii ni kawaida kwa kila habari mpya, huvuma, hufifia na kisha hupotea kabisa, hasa zinapokuja taarifa nyingine moto zaidi kwa wakati huo. Pamoja na hayo, suala la afya ya huyu mtanzania halistahili kufifishwa ikizingatiwa kuwa hadi sasa hivi bado yupo kwenye matibabu, na 'tume' ya polisi 'inaendelea kufanya kazi'.
Ombi langu ni kwamba, kama ambavyo wadau, kupitia vyanzo vya uhakika wamekuwa wakitupa 'updates', basi waendelee kufanya hivyo ili tuendelee kuwa na taarifa juu ya mwenzetu huyu.
Nawasilisha.
Naamini kila mtu anakubaliana na mimi kuwa habari ya Dr. Ulimboka inaanza kufifia hapa jamvini. Hii ni kawaida kwa kila habari mpya, huvuma, hufifia na kisha hupotea kabisa, hasa zinapokuja taarifa nyingine moto zaidi kwa wakati huo. Pamoja na hayo, suala la afya ya huyu mtanzania halistahili kufifishwa ikizingatiwa kuwa hadi sasa hivi bado yupo kwenye matibabu, na 'tume' ya polisi 'inaendelea kufanya kazi'.
Ombi langu ni kwamba, kama ambavyo wadau, kupitia vyanzo vya uhakika wamekuwa wakitupa 'updates', basi waendelee kufanya hivyo ili tuendelee kuwa na taarifa juu ya mwenzetu huyu.
Nawasilisha.