Kaory
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 585
- 1,184
HahahaWeight is just a number!😜
HahahaWeight is just a number!😜
Afanye intermittent fasting(aanze na 16 hrs then 18 hrs mpk 48hrs na afanye mazoezi ya kutembea ya kawaida kabisa.Piga sana push up, piga sana plunk, ruka sana kamba piga sana squatting, kimbia sana
Utanishukuru
Afanye intermittent fasting(aanze na 16 hrs then 18 hrs mpk 48hrs na afanye mazoezi ya kutembea ya kawaida kabisa.
Tatizo mtu hapa anakuja kuomba ushauri akitaka aambiwe maneno laini laini Kama vile kunywa maji ya Moto asubuhi kabla ya kula kitu chochote na story za dizaini hio.
No pain,no gain.
Umeua mkuu, no pain no gain its obvious.. Mambo ya pushup mbili na utarajie mabadiliko makubwa huo ni uchawiMungu ni Roho na hapangiwi pa kuingia sababu yeye ndiye mwenye kila pumzi ya kiumbe kilicho haiMungu anaingiaje hapa!

Haya matatizo ya kipato mkuu.. Ulaji wa "misotojo" n kukaa mda mref bila kufanya kazi. Fanya mazoezi kwanza alafu ushaur wa mlo utapewa.Wakuuu nimepima uzito nina kilo 105, ushauri wenu wa namna ya kuzikata nifikie 80.
Ni kweli kabisa mkuu, ila kumtegemea kwenye vitu vidogo namna hii ni kumkosea sana…. ni sawa na kutilia shaka uweza wake.Mungu ni Roho na hapangiwi pa kuingia sababu yeye ndiye mwenye kila pumzi ya kiumbe kilicho hai![]()
Ni kweli kabisa mkuu, ila kumtegemea kwenye vitu vidogo namna hii ni kumkosea sana…. ni sawa na kutilia shaka uweza wake.
Eti Mungu asaidie kupungua uzito.!!!!!
What a joke.!!!



jamaniMajani si yana mafuta mkuu au ale mabichiMkuu mchawi ni chakula tu, kula sana majani, komaa mwezi tu, pia achana na vinywaji vya sukari, utapungua hata kilo hamsini ndani ya siku 90 tu.
Wakati imesisitizwa 'Usilitaje bure jina lake'. Huyo tayari kujiingiza matataniNi kweli kabisa mkuu, ila kumtegemea kwenye vitu vidogo namna hii ni kumkosea sana…. ni sawa na kutilia shaka uweza wake.
Eti Mungu asaidie kupungua uzito.!!!!!
What a joke.!!!


100% correct.Mazoezi ni asilimia 20%
Msosi unachukua 80%
Kama unafakamia calories zaidi kuliko unazounguza hata ufie gym hutapungua uzito ng'o!